Klabu Bingwa Afrika: Dar Young African Vs Zesco

Tuwe wazalendo jamani, tuishangilie Zesco United na Azam FC

Kumbukeni hao ndo wawakilishi halali waliopigana kikamilifu bila kubebwa..!

Kila la heri Azam FC na Zesco United
 
Kila laheri Yanga! Wawakilishi wa Tz kimataifa
 
Kwa kikosi hiki nyuma nina wasiwasi Sana,
Dua zenu wadau, game yetu leo ngumu sana.
 
uzalendo naweka pemben! Zesco hawawez kunifanya nikawa mnyonge!
 
Tupeane apdate jaman kinachoendelea huko ni ngapi ngapi
 
Sibomana anaipatia Yanga goli la kwanza kwa penalti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…