Klabu Bingwa Afrika: Dar Young African Vs Zesco

Banka analudisha sana mipira nyuma tena kwenye eneo la hatari, Lamine morro pale tulilamba dume, Patrick sibomana hayupo kwenye mchezo kabisa leo. Kipindi cha pili mapema kabisa atoke Sibomana aingie Juma balinya na Mrisho Ngasa. Alafu wachezaji wajitaidi kupiga mashuti nje ya kumi na nane maana mipira ya klosi inatushinda.
 
Yanga wanapaswa waishukuru sana Simba, bila simba leo wangekuwa wanacheza na Namungo FC.....
 
Zesco wanayo nafasi kubwa ya kuwaadhibu hawa Yanga hapa nyumbani kama wakiacha kuupaka paka rangi mpira, Zesco kwa pamoja tutashinda.
 
ZESCO "Zambia Electricity Supply COmpany" tanesco ya zambia inapigwa leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…