Fungua ofisi umrithi marhum Sheikh Yahya Hussein.
Kwani kumekuwa na upungufu wa watabiri kutokea afariki.
Mpira na utabiri wapi na wapi?Ni mapopoma tu ndio wanaoamini utabiri.
Angalau hilo tukio lilitokea katika mechi ya Al ahly akicheza na Js saoura. Mana lingelitokea kwa timu nyengine ambayo si yakiarabu tungeambiwa Waarabu wanabebwa nasio Al-Ahly.