ngogo s ngogo
Senior Member
- Nov 29, 2015
- 134
- 81
Leo ni Asante Kwasi vs Ramadhani Sobhi.
Wawa vs Ajayi Junior.
Fulltime Simba 1-3 Al Ahly
Kwa hiyo mpaka sasa Khamsa kwa Wahed[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebu uko nimeshaedit upoje lakini we mzee
kwani nyie kwenye ligi mnashinda goli ngapi hiyo sheria ianzie kwenye ligi yetu halafu tuone msimamo utakuwajeKagoli kamoja halafu timu inapewa point 3. Hawa CAF inabidi wabadili sheria zao. Yaani timu ipigwe 5, aliyeshinda apewe point 3, huyu kabahatisha kamoja tena kakagere, naye apewe point 3. Ahhhh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unasema wewe
Ebu achiaNimeshika pumbu hapa
Shuniiiiiiiiiieeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unasema wewe
Mkuu chuki yako sio ya sayari hii ya dunia!!Kagoli kamoja halafu timu inapewa point 3. Hawa CAF inabidi wabadili sheria zao. Yaani timu ipigwe 5, aliyeshinda apewe point 3, huyu kabahatisha kamoja tena kakagere, naye apewe point 3. Ahhhh
.....maji ya nini, mtakunywa fursana
Shuniiiiiiiiiieeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Simba anaonekana kwenye glasi?
Ukipiga bao moja au tano mimba huwa ni moja tuKagoli kamoja halafu timu inapewa point 3. Hawa CAF inabidi wabadili sheria zao. Yaani timu ipigwe 5, aliyeshinda apewe point 3, huyu kabahatisha kamoja tena kakagere, naye apewe point 3. Ahhhh