KLABU BINGWA AFRIKA; Yanga kuanza ugenini Mauritius

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
338
Reaction score
180

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, leo hii wanaanza kampeni yao kuwania taji la ubingwa wa Afrika kwa kucheza ugenini na Cercle de Joachim ya Mauritius, lakini ikiwa ni miongoni mwa klabu kongwe 14 barani Afrika ambazo zinaanzia raundi ya mtoano.

Klabu nyingine kongwe zinazoanzia kwenye hatua hiyo ya mtoano kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ni mabingwa mara mbili wa Afrika, Enyimba FC ya Nigeria, Mangasport ya Gabon, Ferroviario de Maputo ya Msumbiji, Gor Mahia ya Kenya, AS Vita Club ya Jamuri ya Kidemokrasia ya Congo, AS Douanes ya Senegal, Horoya A.C ya Guinea, Stade Malien ya Mali, Club Africain ya Tunisia, Wydad Casabanca ya Morocco, Asec Mimosas ya Ivory Coast, St. George ya Ethiopia na US Douala ya Camroon.

Kama zilivyo timu nyingine, Yanga – ingawa...CHUNGULIA HAPA
 
hii game inaoneshwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…