Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Kutokana na Azam FC jana kushindwa kuhimili fitna za ugenini,bado naamini Simba na Yanga ndizo timu pekee katika michuano hiyo. Simba na Yanga wameshafanyiwa hujuma ugenini hadi wamekomaa kwa kuzoea.
Azam wameponzwa na ugeni. Wakayumbishwa na fitna hadi kuzabwa mabao 3 bila na kutupwa nje ya mashindano ya klabu bingwa Afrika. Walipanic na kupotea mchezoni. Kwa Simba na Yanga mambo yangekuwa tofauti. Wangekufa kiume hakika.
Kuna miaka mingi kwa timu ya Azam na wengineo kuwa na usugu wa fitna wa Simba na Yanga. Hapa ndani ndiyo saizi ya Azam
Azam wameponzwa na ugeni. Wakayumbishwa na fitna hadi kuzabwa mabao 3 bila na kutupwa nje ya mashindano ya klabu bingwa Afrika. Walipanic na kupotea mchezoni. Kwa Simba na Yanga mambo yangekuwa tofauti. Wangekufa kiume hakika.
Kuna miaka mingi kwa timu ya Azam na wengineo kuwa na usugu wa fitna wa Simba na Yanga. Hapa ndani ndiyo saizi ya Azam