ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
6 mingi sana labda 3Arsenal 0 - Barca 6.
Madrid wakiwa na Ramos, Varane na Marcelo wakisaidiwa upande wa viungo na Toni Kroos, Modric na James walichapwa 4-0 kwao. Sasa Arsenal una nani wa kumzuia Barca?6 mingi sana labda 3
Arsenal waamini ktk miujiza kwenye mechi ya leo.achana na historia sasa hivi kuna kitu kinaitwa MSN...usiombe ukutane na kikosi hicho...Barca mechi 32 mfululizo bila kufungwa!...itakua bahati sana kwa arsenal wakitoka salama