Kwa mashabiki wenye utajiri, Gor ya Kenya ndio kiboko
Lakini kwa wingi wa mashabiki, Yanga ndio yenyewe kwani hata mimi Mkenya lakini shabiki wa Yanga FC.
Simba FC haina lolote, ni vijana wa mjini tu wenye makelele mengi.... aha! najua wapenzi wa Simba watanitia kitanzi bora nisepe.
Yanga ya Tanzania
Kwa mashabiki wenye utajiri, Gor ya Kenya ndio kiboko
Lakini kwa wingi wa mashabiki, Yanga ndio yenyewe kwani hata mimi Mkenya lakini shabiki wa Yanga FC.
Simba FC haina lolote, ni vijana wa mjini tu wenye makelele mengi.... aha! najua wapenzi wa Simba watanitia kitanzi bora nisepe.
Ingawa umaaufu nauwana washabiki wengi inahitaji kufanya research ya kisayansi maana mimi tiu yangu ni Azam FC ya Dar-es-Salaam
lakini ni mashabiki mbumbumbuyanga, kwani ndio yenye mashabiki wengi tz tafiti nyingi zimefanywa zinaonyesha hivyo na pia ndio timu pekee yenye matawi kwenye karibia kila nchi afrika mashariki na kati
Tutake radhi mkuu! !!