Taifa Digital Forum
Member
- Jun 4, 2022
- 68
- 184
Michezo ni moja ya sanaa inayokuwa kwa kasi kubwa nchini Tanzania, katika siku za hivi karibuni kumekuwa na mijadala mkubwa juu ya masuala mbalimbali yanayoingusa tasnia hiyo kutoka kwa wapenzi na mashabiki wa soka [emoji460]️.
Leo tunakusogezea Jezi Mpya za baadhi ya Vilabu vya Soka Tanzania Bara zilizotangazwa hivi karibuni. Je, Ni Klabu gani imekonga mioyo ya Mashabiki wake?
Dondosha comment yako hapa.
Leo tunakusogezea Jezi Mpya za baadhi ya Vilabu vya Soka Tanzania Bara zilizotangazwa hivi karibuni. Je, Ni Klabu gani imekonga mioyo ya Mashabiki wake?
Dondosha comment yako hapa.