Klabu ya al ahly imeanzisha akademi katika nchi tatu hapa afrika ambazo ni Nigeria, Angola na Ghana.

Klabu ya al ahly imeanzisha akademi katika nchi tatu hapa afrika ambazo ni Nigeria, Angola na Ghana.

BlackPanther

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
9,185
Reaction score
8,715
Screenshot_20190403-155424_Instagram.jpg

Klabu ya al ahly imeanzisha akademi katika nchi tatu hapa afrika ambazo ni Nigeria, Angola na Ghana.

Lengo la mradi huo ni kukuza na kuinua vipaji ili kufanya biashara na vilabu mbali mbali kote duniani
.
 
Wangefungua Tanzania Ila wakiwaza miili ya kina kichuya
Nadhani unazungumzia kimo, ambapo kimo sio tatizo wapo wachezaji bora kibao wenye vimo vidogo vya kina kichuya..

Na kuhusu mwili, mwili unajengwa hilo sio tatizo, muhimu ni kipaji kwanza, kam mtoto anawekwa kweny akademi anakula vizuri, anafundishwa soka, anafundishwa kuwa mwanasoka mkubwa, jinsi ya kulinda mwilu na mambo mengine, miili inajengeka fresh tu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangefungua Tanzania Ila wakiwaza miili ya kina kichuya


Walioendelea kwenye soka wangekuwa na mawazo ya namna hii leo tusingefaidi uhondo wa akina Luca Modric, Marcelo, Messy, Salah, etc
 
Sah
Nadhani unazungumzia kimo, ambapo kimo sio tatizo wapo wachezaji bora kibao wenye vimo vidogo vya kina kichuya..

Na kuhusu mwili, mwili unajengwa hilo sio tatizo, muhimu ni kipaji kwanza, kam mtoto anawekwa kweny akademi anakula vizuri, anafundishwa soka, anafundishwa kuwa mwanasoka mkubwa, jinsi ya kulinda mwilu na mambo mengine, miili inajengeka fresh tu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi Mkuu ona miili ya akina Dele Ali, Rahim steling,
 
Back
Top Bottom