real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
ENGLAND: Klabu ya Manchester United imemuongezea mkataba kocha wake wa sasa Jose Mourinho wa kuifundisha klabu hiyo hadi mwaka 2020
Mkataba wa awali wa kocha huyo ulikuwa unamalizika mwaka 2019
Mourinho alisema amefurahishwa kuwa klabu hiyo bado inamuamini kuwa yeye ndie kocha wake sahihi kwa kipindi kijacho na kuwashukuru wamiliki pamoja na mkurugenzi wa klabu hiyo Ed Woodward
Mkataba wa awali wa kocha huyo ulikuwa unamalizika mwaka 2019
Mourinho alisema amefurahishwa kuwa klabu hiyo bado inamuamini kuwa yeye ndie kocha wake sahihi kwa kipindi kijacho na kuwashukuru wamiliki pamoja na mkurugenzi wa klabu hiyo Ed Woodward