njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Atleast hii hela itaingia kwenye hazina ya GSM siyo kama ile ya Tuisila aliyekuwa kwa mkopo pale kidimbwi.
Klabu ya Mouloudia Oujda ya nchini Morocco imetuma ofa kwa klabu ya Yanga kuitaka saini ya kiungo Mukoko Tonombe.
Klabu ya Mouloudia Oujda ya nchini Morocco imetuma ofa kwa klabu ya Yanga kuitaka saini ya kiungo Mukoko Tonombe.