njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Mukoko nafikiri anao mkataba, Kisinda ndiye alikuwa kwa mkopo.Duuuuh!!! Kwahiyo mkopo .
Hah hah, kumbe ulikuwa unamsikitikia pia.Sema unajua nini, Mungu ni mwema wakati wote, leo hii mze Onyanga atakuwa huru!! Mungu mbariki Ibenge kwa kumuondolea Mzee Onyango treni ya umeme.
Simba the next level.
Umenichekesha mkuu.Sema unajua nini, Mungu ni mwema wakati wote, leo hii mze Onyanga atakuwa huru!! Mungu mbariki Ibenge kwa kumuondolea Mzee Onyango treni ya umeme.
Simba the next level.
Mawazo yalikua kwa speed ya TK Master kwa zile beki zangu za kati Wawa na Onyango,wazito hawana foot work.Hah hah, kumbe ulikuwa unamsikitikia pia.
Lete ushahidi kwamba Kisinda alikuwa kwa mkopo Yanga.Mukoko nafikiri anao mkataba, Kisinda ndiye alikuwa kwa mkopo.