Klabu ya Simba, Mugalu asipewe jezi namba 9

Klabu ya Simba, Mugalu asipewe jezi namba 9

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,711
Reaction score
3,279
Habari Wakuu

Naomba kama kuna mtu humu ambae anaweza kuwa na connection na viongozi wa Simba awaambie wasithubutu kumpa jezi no9 mshambuliaji mpya Chris Mugalu kwani ina gundu na ataflop wote mtamkataa ndani ya msimu mmoja tu.

Naomba kuwasilisha
 
Yamekuwa hayo tena! Ila takwimu zake za kufunga zinashuka, alianza na magoli 24, msimu uliofata 19, uliopita ana 9 tu, kwa hiyo akifunga mawili msimu huu msianze kusingizia jezi no 9 nyie kituo cha kulelea wazee!
Hivi hao vijana wenu wa utopolo fc wameleta kombe gani!?

Utopolo fc akili za kijinga Sana, C. Ronaldo ana miaka 34 lakini bado Ni striker hatari,

Trésor Mputu wa TP Mazembe ana 38 bado Ni hatari.

Utopolo fc hovyo kabisa!
 
Hapana kaka kwenye mpira haya mambo yapo sana mfano Man utd ile jezi no7 tangu aondoke ronaldo kila anaepewa inamuharibu
Wewe nakukubali ni shabiki kindakindaki wa Man U.japo mimi ni Arsenal.
sasa mwamba kama Man U namba 7 inagundu basi ndo timu zote dunianzima namba saba inagundu?
 
Wewe nakukubali ni shabiki kindakindaki wa Man U.japo mimi ni Arsenal.
sasa mwamba kama Man U namba 7 inagundu basi ndo timu zote dunianzima namba saba inagundu?
Hapana nimezingatia historia wachezaji waloivaa pale simba hawakufanya vizuri
 
117814593_1682168861942122_3383931869622630509_o.jpg

Kama Chriss Mugalu = Chriss Ronaldo
 
Namba ya mgongoni aichezi bali anaecheza ni mtu. wapesalam waambie top 3/wafungaji bora msimu wa 2020/2021/ ni:
Mk 14.

Mugalu.

BM.
Kwa BM umeingia cha kike mkuu, hujawasikia wale wazee wa mikoa mitano ya Zenji? Subiri uone, kila siku mtampeleka India kufanyiwa MRI ya misuri, haiwezekani mpeperushe ndege wetu kirahisi afu mbaki salama
 
Yamekuwa hayo tena! Ila takwimu zake za kufunga zinashuka, alianza na magoli 24, msimu uliofata 19, uliopita ana 9 tu, kwa hiyo akifunga mawili msimu huu msianze kusingizia jezi no 9 nyie kituo cha kulelea wazee!

Huyu anatufaa sana. maana ana uzoefu wa mechi za CAF. Kushuka kwa idadi ya magoli ya kufunga kusitukatishe tamaa wana simba.
 
Kwa BM umeingia cha kike mkuu, hujawasikia wale wazee wa mikoa mitano ya Zenji? Subiri uone, kila siku mtampeleka India kufanyiwa MRI ya misuri, haiwezekani mpeperushe ndege wetu kirahisi afu mbaki salama

Tatizo nyinyimUtopolo mlimkosea namna ya kumtumia BM33, na hata nao kule Orlando Pirates walikosea namna ya kumtumia. Msimbazi kumejaa weledi, tuna watu makini wa kujua namna ya kumtumia mtu kama yule.
 
Tatizo nyinyimUtopolo mlimkosea namna ya kumtumia BM33, na hata nao kule Orlando Pirates walikosea namna ya kumtumia. Msimbazi kumejaa weledi, tuna watu makini wa kujua namna ya kumtumia mtu kama yule.
Tatizo namna yenu ya kutafuta wachezaji iko very poor, afu mnajiita timu kubwa! Haya sasa mkachukuwa wazee wote mkidhani wachezaji wazuri wameisha Africa nzima! Hawo mabeki wenu wazee wasipopasuka mapafu mwaka huu mkatambikie. Rage alivyowaita mbumbumbu hakukosea kabisa!
 
Hivi hao vijana wenu wa utopolo fc wameleta kombe gani!?

Utopolo fc akili za kijinga Sana, C. Ronaldo ana miaka 34 lakini bado Ni striker hatari,

Trésor Mputu wa TP Mazembe ana 38 bado Ni hatari.

Utopolo fc hovyo kabisa!
Wazungu ni tofauti na ngozi nyeusi kutoka Afrika, kwa ngozi nyeusi kwenye miaka yake ongeza 10

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom