NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
.... π¨ Kuhusu Cesar Manzoki iko hivi ;
Klabu ya Simba SC iko serious ikihitaji saini ya Cesar Lobi Manzoki na tayari walishafanya majadiliano kuhusu kuitumikia Simba.
Lakini klabu ya Dalian pro π¨π³ anayoitumikia kwa sasa imempa ofa kubwa kumshawishi Manzoki aongeze mkataba mpya. Wamempa ofa ya Tsh 40 Milioni mshahara kwa mwezi.
Wakati huohuo tayari Manzoki alishapokea ADVANCE kutoka Simba SC ili ajiunge nao dirisha hili la usajili.
Kwa hiyo uamuzi umebaki kwake, apokee ofa ya Dalian fc kisha awarejeshee pesa yao Simba au aikatae ofa ya Dalian fc kisha ajiunge na klabu ya Simba SC..
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Simba, Salim Abdallah Try again amerejea kutoka Qatar πΆπ¦ AMBAKO alikuwa amekwenda kwa ajili ya mafunzo,, baada ya kurejea Nchini amezungumza yafuatayo katika Interview aliyofanya na Ahmed Ally.
"Watu wanaendelea kufanya makosa yaleyale, Luis Miquissone ni mchezaji wa Al Ahly πͺπ¬ hivyo, watu wapuuze kabisa hizo tetesi tetesi za mtaani, waachane na tetesi kutoka vyanzo ambavyo sio vya klabu yetu taarifa rasmi za usajili watazipata kutoka Simba. Usajili ni kazi ya wataalamu hivyo naomba hili tuwaachie wataalamu... Ntibazonkiza, Cesar Manzoki, Adebayor na wengine na wengine na wengine wote ambao wametajwa (Kwenye tetesi) ni Wachezaji wazuri"
"Ni kweli tutafanya usajili kwenye maeneo machache ambayo tunaona yanafaa kuongezwa nguvu.. Ila ni usajili wa nguvu Wanasimba watafurahi"
Β©οΈ Salim Abdallah 'Try again'
.
Akiwa katika ligi ya China, Manzoki amecheza michezo (11) na kufanikiwa kufunga mabao mawili (2).
Klabu ya Simba SC iko serious ikihitaji saini ya Cesar Lobi Manzoki na tayari walishafanya majadiliano kuhusu kuitumikia Simba.
Lakini klabu ya Dalian pro π¨π³ anayoitumikia kwa sasa imempa ofa kubwa kumshawishi Manzoki aongeze mkataba mpya. Wamempa ofa ya Tsh 40 Milioni mshahara kwa mwezi.
Wakati huohuo tayari Manzoki alishapokea ADVANCE kutoka Simba SC ili ajiunge nao dirisha hili la usajili.
Kwa hiyo uamuzi umebaki kwake, apokee ofa ya Dalian fc kisha awarejeshee pesa yao Simba au aikatae ofa ya Dalian fc kisha ajiunge na klabu ya Simba SC..
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Simba, Salim Abdallah Try again amerejea kutoka Qatar πΆπ¦ AMBAKO alikuwa amekwenda kwa ajili ya mafunzo,, baada ya kurejea Nchini amezungumza yafuatayo katika Interview aliyofanya na Ahmed Ally.
"Watu wanaendelea kufanya makosa yaleyale, Luis Miquissone ni mchezaji wa Al Ahly πͺπ¬ hivyo, watu wapuuze kabisa hizo tetesi tetesi za mtaani, waachane na tetesi kutoka vyanzo ambavyo sio vya klabu yetu taarifa rasmi za usajili watazipata kutoka Simba. Usajili ni kazi ya wataalamu hivyo naomba hili tuwaachie wataalamu... Ntibazonkiza, Cesar Manzoki, Adebayor na wengine na wengine na wengine wote ambao wametajwa (Kwenye tetesi) ni Wachezaji wazuri"
"Ni kweli tutafanya usajili kwenye maeneo machache ambayo tunaona yanafaa kuongezwa nguvu.. Ila ni usajili wa nguvu Wanasimba watafurahi"
Β©οΈ Salim Abdallah 'Try again'
.
Akiwa katika ligi ya China, Manzoki amecheza michezo (11) na kufanikiwa kufunga mabao mawili (2).