Hakuna jema kwenu😭😭Lawama kwa GSM haziwezi kuisha kwa msimu ujao
InatambaaaEnhe Jana Afrika ilisimama Kwaio Leo Vp Inatembea o? [emoji23]
Kambale anaendeleaje?Another Thadei Lwanga
Msimu ujao ukianza tusiwasikie kuhusu bahasha za GSM na timu yenu kukamiwa.Kambale anaendeleaje?
Anaelewa katika ile miezi 6 yamkataba imebaki minne na nusu na hakuna hata mechi aliyocheza?
Jamaa anajua ngoja tuone ...Jamaa sio tu anajua kukaba na kufanya interceptions, lakini ana uwezo wa ku dribble [ tembea nao ] ndio maana ameondoka Coastal Union na assists kadhaa.
Well done Simba SC.
sahihi haiwezekani mseme kutoka nijeria akati alikua tanga ......jamani mnashindwa kufata wachezaji Nigeria mnigeria wa tangaLawama kwa GSM haziwezi kuisha kwa msimu ujao
Na nyie mtuhakikishie msimu ujao mnaacha tabia ya kufanya press kuwatisha marefa kwa madai kuwa wanaibeba SimbaMsimu ujao ukianza tusiwasikie kuhusu bahasha za GSM na timu yenu kukamiwa.
Simba SC imetangaza kukamilisha usajili wa kiungo wa katikati ya dimba Mnigeria Victor Akpan (24) kwa mkataba wa miaka miwili akitokea klabu ya Coastal Union ya Tanga.sahihi haiwezekani mseme kutoka nijeria akati alikua tanga ......jamani mnashindwa kufata wachezaji Nigeria mnigeria wa tanga