Mimi sioni Sababu ya Viongoi Wa Simba Sc kupoteza muda wao kwa kujadili jambo hilo. Ndio mana tembea nchi zote Afrika huwez kukuta tm zenye utani Wa jadi zaid ya Simba na Yanga. Vinginevyo utakuta ni Mahasim. Japokuwa kitakacho mponza Mwakalebela ni cheo chake akiwa kiongoz wa Timu hakupaswa kufanya mzaha huo. Ukizingatia Mchezaj mwenyewe anakanusha kufanya mazungumzo yoyote na viongoz Wa Yanga kwanin Viongoz Wa cmba walichukulie Selious kias jicho?. Nafikir kuna mchezo unachezwa na Viongoz Wa Simba sc kuwatoa relini Wadau wanaohoji uwekezaji Wa Billion 20 uko wapi? Badala yake wajikite kumjadili Mwakalebela.Klabu ya Simba imewasilisha malalamiko TFF kufuatia kauli ya Makamu Mwenyekiti wa Yanga African Fredrick Mwakalebela kuwa wamefanya mazungumzo na mchezaji Clatous Chama wakati akina ndani ya mkataba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauli yake ndo inamhukumu..Kule kusema amezungumza na Clatous Chama alimaanisha ukweli ama utani, hapo sheria itaamua..!Sasa kama hajaongea na mchezaji sheria inakuwa imevunjwa wapi?
Wapenzi wa Simba wala hatuna haja ya kuhoji bilioni 20, naona wewe ndio unataka kututoa kwenye reli. Yanga wamchunguze DM, kuna kitu anafanya makusudi kufanya hujuma... Nafikir kuna mchezo unachezwa na Viongoz Wa Simba sc kuwatoa relini Wadau wanaohoji uwekezaji Wa Billion 20 uko wapi? Badala yake wajikite kumjadili Mwakalebela.
Naona unaitungia kanuni mpya... mazungumzo na mchezaji hayazuiliwi ila kumchukua mchezaji ndipo kunapozuilika hadi taratibu zote zifuatwe
Kwa hiyo itakuwa viongozi wa simba walimtuma mwakalebela aseme alichosema na baadae wamchenjie ili kuzima swala la b20,hivi unafikiri kwa kutumia nini?huyo nyege zake mwenyewe zimemtuma aseme hayo maneno na nyinyi mashabiki wa utopolo juzi nzima mlikuwa mnampongeza yeye na gsm kwa kuikomoa simba.mnachotakiwa kujua utopolo fc klabu ya simba imeshapita ktk aina hiyo ya uongozi wenu na ndio maana halisi ya next level.Mimi sioni Sababu ya Viongoi Wa Simba Sc kupoteza muda wao kwa kujadili jambo hilo. Ndio mana tembea nchi zote Afrika huwez kukuta tm zenye utani Wa jadi zaid ya Simba na Yanga. Vinginevyo utakuta ni Mahasim. Japokuwa kitakacho mponza Mwakalebela ni cheo chake akiwa kiongoz wa Timu hakupaswa kufanya mzaha huo. Ukizingatia Mchezaj mwenyewe anakanusha kufanya mazungumzo yoyote na viongoz Wa Yanga kwanin Viongoz Wa cmba walichukulie Selious kias jicho?. Nafikir kuna mchezo unachezwa na Viongoz Wa Simba sc kuwatoa relini Wadau wanaohoji uwekezaji Wa Billion 20 uko wapi? Badala yake wajikite kumjadili Mwakalebela.
Kuomba radhi hakufuti kosa..Hapo kutozwa faini na kufungiwa timu kutosajili kwa muda...Tusubiri kuona itakuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Kabwili anatoa ushahidi wa rushwa ya IST ...Mnashushwa daraja kama JuventusKuomba radhi hakufuti kosa..Hapo kutozwa faini na kufungiwa timu kutosajili kwa muda...Tusubiri kuona itakuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama itabidi aonyeshe ushahidi au kupitia kampuni ya Simu...hamna kesi hapoKauli yake ndo inamhukumu..Kule kusema amezungumza na Clatous Chama alimaanisha ukweli ama utani, hapo sheria itaamua..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiacha kukiri pia kaomba msamaha, kwahiyo usizani mwakalebela mjinga kuomba msamaha, anajua alipoteleza na ndio hapo patamuhukumuSimba wamepaniki balaa! Davidi amekiri kufanya utani uliopitiliza, kiuhalisia hajafanya mazungumzo na Chama na ameomba msamaha kwa hilo! Hata Chama mwenyewe alikanusha kufanya mazungumzo yoyote na Yanga! Baada ya GSM kusema watafanya usajili mzuri msimu ujao mikia wanadhani wamepata kichaka cha kutukwamisha!
Sent using Jamii Forums mobile app