Simba kuna timu ya netiboli.Hivi Simba nayo si inatumia Sports Club?au wao wana michezo mingine?
Si pale nje Huwa tunacheza bao? Au wanataka mchezo gani mwengine
Wanamichezo mingi tuu ukiacha na ule Umbumbumbu pia wana umbea mchezo huu ukiwa chini ya Manara,pia wana netball na rede.Hivi Simba nayo si inatumia Sports Club?au wao wana michezo mingine?
Kumbe simba wao ndio yakimataifa na sio sisi yangaWanamichezo mingi tuu ukiacha na ule Umbumbumbu pia wana umbea mchezo huu ukiwa chini ya Manara,pia wana netball na rede.
πππππ€π€Wanamichezo mingi tuu ukiacha na ule Umbumbumbu pia wana umbea mchezo huu ukiwa chini ya Manara,pia wana netball na rede.
Coastal union ya tangaHivi rais wa TFF anatoka (au alitokea) timu gani?
duh ila nzuri hii........ pia ziwe kampuni hizi timuMnamo Novemba 21, 2018 TFF iliiandikia barua klabu hiyo na kuitaka ibadili jina lake kutoka 'Young Africans Sports Club' na kuwa 'Young Africans Football Club'
Katika barua hiyo iliyoandikwa na Katibu Mkuu TFF, Wilfred Kidau inaeleza kuwa hayo ni maagizo ya FIFA na kuwa Klabu inayosajiliwa kama 'Sports Club' inatakiwa kuwa na michezo mingine
Hii ni kwa sababu klabu hiyo ipo chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani(FIFA) na kwa sasa inafanya shughuli za mpira wa miguu pekee
Itakumbukwa kuwa zamani Yanga pamoja na Klabu ya Simba zilikuwa na michezo mingine kama Michezo ya Ngumi na mingine
View attachment 943865
kocha mzee akilimaliSi pale nje Huwa tunacheza bao? Au wanataka mchezo gani mwengine