GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wakati Mazuzu na Washamba wakifurahia Kudekezwa kwa sababu ya Kipumbavu ya kuwapa nafasi ya Kujiandaa wenye Akili Kusini mwa Afrika wanaendelea Kukipiga huko Kwao katika Mechi zao za Ligi na wamekataa SAFA Kuwadekeza kama ambavyo TFF inadekeza Majuha Kwingineko.
Halafu mkipigwa Nje Ndani msianze Kulalamika na Kutuzuga kuwa Nusu Fainali halikuwa Lengo lenu na kwamba Lengo lenu lilishatimia Kitambo.
Halafu mkipigwa Nje Ndani msianze Kulalamika na Kutuzuga kuwa Nusu Fainali halikuwa Lengo lenu na kwamba Lengo lenu lilishatimia Kitambo.