Klabu yenye Watu Werevu kamwe haitokubali Kudekezwa ili ijiandae vyema Kimataifa

Klabu yenye Watu Werevu kamwe haitokubali Kudekezwa ili ijiandae vyema Kimataifa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wakati Mazuzu na Washamba wakifurahia Kudekezwa kwa sababu ya Kipumbavu ya kuwapa nafasi ya Kujiandaa wenye Akili Kusini mwa Afrika wanaendelea Kukipiga huko Kwao katika Mechi zao za Ligi na wamekataa SAFA Kuwadekeza kama ambavyo TFF inadekeza Majuha Kwingineko.

Halafu mkipigwa Nje Ndani msianze Kulalamika na Kutuzuga kuwa Nusu Fainali halikuwa Lengo lenu na kwamba Lengo lenu lilishatimia Kitambo.
 
Waache vipofu waendelee kuongozwa na chongo wao Wakistuka kumekucha
Wakati Mazuzu na Washamba wakifurahia Kudekezwa kwa sababu ya Kipumbavu ya kuwapa nafasi ya Kujiandaa wenye Akili Kusini mwa Afrika wanaendelea Kukipiga huko Kwao katika Mechi zao za Ligi na wamekataa SAFA Kuwadekeza kama ambavyo TFF inadekeza Majuha Kwingineko.

Halafu mkipigwa Nje Ndani msianze Kulalamika na Kutuzuga kuwa Nusu Fainali halikuwa Lengo lenu na kwamba Lengo lenu lilishatimia Kitambo.
 
Wakati Mazuzu na Washamba wakifurahia Kudekezwa kwa sababu ya Kipumbavu ya kuwapa nafasi ya Kujiandaa wenye Akili Kusini mwa Afrika wanaendelea Kukipiga huko Kwao katika Mechi zao za Ligi na wamekataa SAFA Kuwadekeza kama ambavyo TFF inadekeza Majuha Kwingineko.

Halafu mkipigwa Nje Ndani msianze Kulalamika na Kutuzuga kuwa Nusu Fainali halikuwa Lengo lenu na kwamba Lengo lenu lilishatimia Kitambo.
Hopeless! Kipindi kile timu yako inaachiwa viporo, mbona ulikuwa unakenua tu? Popoma, unafiki utakuja kuua!
 
Wakati Mazuzu na Washamba wakifurahia Kudekezwa kwa sababu ya Kipumbavu ya kuwapa nafasi ya Kujiandaa wenye Akili Kusini mwa Afrika wanaendelea Kukipiga huko Kwao katika Mechi zao za Ligi na wamekataa SAFA Kuwadekeza kama ambavyo TFF inadekeza Majuha Kwingineko.

Halafu mkipigwa Nje Ndani msianze Kulalamika na Kutuzuga kuwa Nusu Fainali halikuwa Lengo lenu na kwamba Lengo lenu lilishatimia Kitambo.
Mwaka Jana wakati mnapewa viporo hamkuwa mkidekezwa?
 
Back
Top Bottom