Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Klabu za Ligi hiyo zimepiga kura kwa siri kukubali timu kufanya mazoezi yatakayojumuisha wachezaji kugusana ikiwa ni hatua nyingine ya kukaribia kuendelea na Ligi hiyo.
Wachezaji walirejea mazoezini wiki iliyopita lakini mazoezi hayo yamekuwa yakijumuisha vikundi vidogo vya wachezaji na bila kugusana.
Mazoezi na Ligi kwa ujumla vilisimama kutokana na #CoronaVirus na sasa Uongozi wa ligi umesema wachezaji wataendelea kupimwa kila wiki mara mbili.
Hatua hii inaonesha Ligi hiyo ipo mbioni kurejea japokuwa tarehe iliyowekwa awali ya Juni 12 inaonekana itakuwa ngumu ila uwezekano mkubwa na Ligi hiyo kurejea Juni 26.
Aidha, uwezekano wa mechi za Ligi hiyo itakaporejea kuchezwa kwenye viwanja vya kila timu ni mkubwa kuliko ule wa awali kuwa mechi zitachezwa katika viwanjwa kadhaa tu.
Wachezaji walirejea mazoezini wiki iliyopita lakini mazoezi hayo yamekuwa yakijumuisha vikundi vidogo vya wachezaji na bila kugusana.
Mazoezi na Ligi kwa ujumla vilisimama kutokana na #CoronaVirus na sasa Uongozi wa ligi umesema wachezaji wataendelea kupimwa kila wiki mara mbili.
Hatua hii inaonesha Ligi hiyo ipo mbioni kurejea japokuwa tarehe iliyowekwa awali ya Juni 12 inaonekana itakuwa ngumu ila uwezekano mkubwa na Ligi hiyo kurejea Juni 26.
Aidha, uwezekano wa mechi za Ligi hiyo itakaporejea kuchezwa kwenye viwanja vya kila timu ni mkubwa kuliko ule wa awali kuwa mechi zitachezwa katika viwanjwa kadhaa tu.