Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kijana,
Mara baada ya hotuba ya Rais kwa Wabunge siku ya tarehe 21 August 2008 KLHN Ilipata nafasi ya kuzungumza na Katibu Mkuu wa Chama Chade Demokrasia na Maendeleo Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu) kuhusu mtazamo wake kuhusu hotuba hiyo. Ifuatayo basi ni sehemu kidogo ya hotuba ya Rais na mahojiano kamili na Dr. Slaa.
http://www.klhnews.com/images/podcasts/hotubayaraisAgusti20.MP3
Kama unapata shida kusikiliza hapa, jaribu kusikiliza kupitia KLHN kwenye eneo la "Listen Shows" pale juu. Kwa wale wenye Ipods na mnaopokea kupitia Itunes mtapata nakala baadaye kupitia mwanakijiji.podomatic.com
Mara baada ya hotuba ya Rais kwa Wabunge siku ya tarehe 21 August 2008 KLHN Ilipata nafasi ya kuzungumza na Katibu Mkuu wa Chama Chade Demokrasia na Maendeleo Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu) kuhusu mtazamo wake kuhusu hotuba hiyo. Ifuatayo basi ni sehemu kidogo ya hotuba ya Rais na mahojiano kamili na Dr. Slaa.
Bravo kaka!!
Bravo Mwanakijiji. Nimeipata japo kweny PC yangu haisikiki vizuri sana. Ninaomba kama una electronic copy ya ile hotuba yote aliyosoma tupostie hapa, au mwana JF mwenye hiyo ecopy aturushie. Thanks.