Niko mjini maeneo ya jamhuri street.Dar sehemu gani bi mkora. ukijibu hlo waweza kutupa mwanga. maana dar kubwa mwaya
Dar sehemu gani bi mkora. ukijibu hlo waweza kutupa mwanga. maana dar kubwa mwaya
Nimependa confidence yako @Bi.mkora
Dar sehemu gani bi mkora. ukijibu hlo waweza kutupa mwanga. maana dar kubwa mwaya
Bi. Nyakomba mbona umekuwa kimya? Umetaka kujua nipo maeneo gani na nimekuambia. Tafadhali nisaidie.
Sio mwisho wa maisha fanya shughuli zako kama kawaida,maana wengine wanakuwaga na wasiwasi...
Nashukuru sana. Ninayo kadi. Nitaku pm. Ubarikiwe.Mmmmh wewe clinic ya HIV no hii kitaalamu huitwa clinic ya ART as longer kama una CTC kad yako ni pm I will help you
Sasa mbona unajibu kwa ukali eti fanya shughuli zako kama kawaida kwani nimekuambia nimeacha shughuli zangu? Wewe uliniuliza na nimekujibu. Sasa nimeona kimya. Kukumbusha ndio kosa kangu? Nakuomba uwe na amani tu.
Bi mkora punguza jazba usaidiwe
Muhimbili kuna Clinic opposite na Word ya Wakina mama.
Sasa mbona unajibu kwa ukali eti fanya shughuli zako kama kawaida kwani nimekuambia nimeacha shughuli zangu? Wewe uliniuliza na nimekujibu. Sasa nimeona kimya. Kukumbusha ndio kosa kangu? Nakuomba uwe na amani tu.
Samahani kama nilikuelewa vibaya.Hapana nimeongea kawaidaa ndugu yangu na sio kwa jazba na sio mimi ambaye nimeuliza check vizuri hapo juu ila mimi nilisema yaani wengine wanakata tamaaa wewe kuwa normal tu