Ndugu,
Polen kwa mliokosa mkopo,leo tulikuwa bodi ya mkopo na kuna mfanyakazi wa bodi alikuwa anatoa maelezo kwa waliokosa mkopo na kujibu maswal km ifuatavyo;
1.swali; mm nimemaliza form/diploma mwaka jana tu lakini nimeandikiwa "NOT ELIGIBLE COMPLETED FORM SIX/DIPLOMA MORE THAN THREE YEARS BACK" SO HOW?
JIBU; unajua hilo ni suala la kiutendaji tutalifuatilia kujua uhalisia lakin si kwamba ndo suluhisho la ww kupata mkopo shorty "BURGET WAS EXHAUSTED"
2.Nimekamilisha form zangu na nimezituma bodi...lkn ninaambiwa form hazijafika/incomplete....... why that?
Jibu;kaangalie je form yako km imetumwa bodi au imeishia posta, unajua hilo ni suala la kiutendaji tutalifuatilia kujua uhalisia lakin si kwamba ndo suluhisho la ww kupata mkopo shorty "BURGET WAS EXHAUSTED
Kwa kwel maswali yalikuwa mengi sana ila majibu ni yaleyale tu
Ukiangalia mlolongo wa majibu ni wa kukatisha tamaa means wanachotaka ni watu kutoendelea na harakati za kudai
Ninachoamini mimi ni kuwa
HELA IPO,PAMOJA TUNAWEZA
Polen kwa mliokosa mkopo,leo tulikuwa bodi ya mkopo na kuna mfanyakazi wa bodi alikuwa anatoa maelezo kwa waliokosa mkopo na kujibu maswal km ifuatavyo;
1.swali; mm nimemaliza form/diploma mwaka jana tu lakini nimeandikiwa "NOT ELIGIBLE COMPLETED FORM SIX/DIPLOMA MORE THAN THREE YEARS BACK" SO HOW?
JIBU; unajua hilo ni suala la kiutendaji tutalifuatilia kujua uhalisia lakin si kwamba ndo suluhisho la ww kupata mkopo shorty "BURGET WAS EXHAUSTED"
2.Nimekamilisha form zangu na nimezituma bodi...lkn ninaambiwa form hazijafika/incomplete....... why that?
Jibu;kaangalie je form yako km imetumwa bodi au imeishia posta, unajua hilo ni suala la kiutendaji tutalifuatilia kujua uhalisia lakin si kwamba ndo suluhisho la ww kupata mkopo shorty "BURGET WAS EXHAUSTED
Kwa kwel maswali yalikuwa mengi sana ila majibu ni yaleyale tu
Ukiangalia mlolongo wa majibu ni wa kukatisha tamaa means wanachotaka ni watu kutoendelea na harakati za kudai
Ninachoamini mimi ni kuwa
HELA IPO,PAMOJA TUNAWEZA