Yanga
Azam
KMC
Kwaherini
Kuna full back namba mbili Boniface Maganga anapiga cross kama vile kanywa dawa za kuongeza nguvuDakika ya 38 Kipindi cha kwanza.
KMC 0 - 1 AS KIGALI
Mpira unaendelea goli limefungwa dakika ya 29 na RASHID KARISA..
Timu ya KMC wanapoteza sana nafasi.. Washambuliaji wa KMC Msuva, Kabunda na Aiyee wanapaswa kuongeza umakini zaidi.
Inawalazimu KMC kushinda mchezo huu sababu mchezo wa round ya kwanza kule Rwanda walitoka suluhu ya bila kufungana (0-0).
Agg- (0-1)
Mpira siyo dua ni maandalizi mazuri na kuwa timu boraSaivi ni dua tu kwakweli
Hizi Timu za Viti Maalum zitatuaibisha tuu hakuna namna, tiumu inayoweza kutusua pekee ni SimbaDakika ya 38 Kipindi cha kwanza.
KMC 0 - 1 AS KIGALI
Mpira unaendelea goli limefungwa dakika ya 29 na RASHID KARISA..
Timu ya KMC wanapoteza sana nafasi.. Washambuliaji wa KMC Msuva, Kabunda na Aiyee wanapaswa kuongeza umakini zaidi.
Inawalazimu KMC kushinda mchezo huu sababu mchezo wa round ya kwanza kule Rwanda walitoka suluhu ya bila kufungana (0-0).
Agg- (0-1)
Mpira hauhitaji dual,sasa mtu kama beki 2 maganga hata akifanyiwa dual wakati hana uwezo Si ni kupoteza muda tuDua kwao wadogo zetu warudi kwenye game vzr wapate ushindi.
Dkk '77
KMC wanazomewa na mashabiki wao hapa uwanjani
KMC 0-2 AS KIGALI