KMC FC YAVUNJA BENCHI LA UFUNDI

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Uongozi wa Timu ya KMC umefika makubaliano ya kuvunja benchi la ufundi lililokuwa chini ya Kocha Mkuu, Thiery Hitimana kutokana na muenendo usioridhisha wa timu hiyo kwenye NBC Premier League.

Aidha, KMC imemtangaza Jamhuri Kihwelo Julio na benchi lake la ufundi ndio wataachukua mikoba ya kukinoa kikosi hicho.

Mpaka sasa baada ya mzunguko wa 26, KMC ipo nafasi ya 14 na alama 26 kwenye msimamo wa ligi kuu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…