Inamaana una shaka ilhali kila kitu kiko wazi. Hongera sana KNH, operesheni ya kihistoria hiyo.kama ni kweli basi hongera zao,
si mashaka, najua nilichowaza mimi, Btw picha za sasa hazitoshi, Im waiting for the hand to regain its function though to that point I've appreciated themInamaana una shaka ilhali kila kitu kiko wazi. Hongera sana KNH, operesheni ya kihistoria hiyo.
Wewe ni mchawi tu. Wenzenu tunajua mkono wake upo sawa. Hayo mengine tunaachia Mungu. Vitu vingine ingizaga utu jombaa, si kila kitu ni Ke vs. Tz. Yaani hapo ulipo unaomba mabaya yatokee kisa eti ni wakenya? [HASHTAG]#TeamRohoMbaya[/HASHTAG]!si mashaka, najua nilichowaza mimi, Btw picha za sasa hazitoshi, Im waiting for the hand to regain its function though to that point I've appreciated them
asante kwa tusi lako mkuu.Wewe ni mchawi tu. Wenzenu tunajua mkono wake upo sawa. Hayo mengine tunaachia Mungu. Vitu vingine ingizaga utu jombaa, si kila kitu ni Ke vs. Tz. Yaani hapo ulipo unaomba mabaya yatokee kisa eti ni wakenya? [HASHTAG]#TeamRohoMbaya[/HASHTAG]!
Just imagine! Ikumbukwe ya kuwa, ikifika ni kukatana mikono waafrika tupo. Yale ya fullsleeve na sleeveless!NDIYO MARA YA KWANZA AFRICA??
HUJAJIBU SWALIJust imagine! Ikumbukwe ya kuwa, ikifika ni kukatana mikono waafrika tupo! Yale ya fullsleeve na sleeveless!
Umemuweza maana hawa ma Dr wa Tanzania wengi wana wivu wa kijinga sana.Wewe ni mchawi tu. Wenzenu tunajua mkono wake upo sawa. Hayo mengine tunaachia Mungu. Vitu vingine ingizaga utu jombaa, si kila kitu ni Ke vs. Tz. Yaani hapo ulipo unaomba mabaya yatokee kisa eti ni wakenya? [HASHTAG]#TeamRohoMbaya[/HASHTAG]!
We mzee buana!HUJAJIBU SWALI
JUST ANSWER MY QUESTION