Knock, knock…JF

memento mori

Member
Joined
Jan 23, 2021
Posts
22
Reaction score
18
habari yenu ndugu zangu

WASIFU
A Man, miaka 27, im an occupational Therapist by professional pia ni mwanafunzi kwa sasa.Arsenal “the gunners fan”..ATHEIST kwa itikadi..STOIC kwa falsafa. HUMANITY kwa religion.

MUDA, si zaidi ya siku 15 tangu nijiunge JF

HAMASA: Kujifunza mambo mengi kyk nyanja mbalimbali za maisha

SABABU: sifahamu mambo mengi,na machache ninayoyafahamu bado hayanitoshelezi

MCHANGO WANGU JF;ninapenda kuwa sehemu ya mabadiliko chanya kwenye maisha ya kila mtu ambaye nature imenipa fursa ya kukutana naye..kwa msaada wa kitabibu nitafute,niko tayar kushirikiana nawe..

Ninafurahi sana kuwa mmoja wenu kwnye jukwaa kubwa la JF.
 
Eeh! Bwana wee karibu.
Tunakuangalia tu,sie tumo humu KITAMBO.
 
Stoicism is the way, I'm a stoic too.
Karibu sana JF kisima cha maarifa, home for great thinkers.
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Karibu JF.

Naomba nikuulize; Humanism ni dini?

Kama ni dini unakuwaje Atheist?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…