Hello guys, mie mgeni humu. Nahitaji ushirikiano wenu tafadhali.
Karibu sana
Ni pm ili nikutembeze majukwaa mbali mbali kukutambulisha
Hivi ni Nani kawambia kuwa huu ni mji wa kitalii na una hitajika kuwa na tour guide....
Nawakaribisheni chitchatOoohooo
Poa tutakujaNawakaribisheni chitchat
Makapuku Forum
Karibu sana PipiJojo
Hakikisha unaishi vyema na watu umu ndani,mtaa huu si sawa na mitaa ile ya [HASHTAG]#Facebook[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Insta[/HASHTAG]
Yo Warmly Welcomed
Well Said sonpia hamna mambo ya selfie
Ahahahahahahahahaha...my bad.!sina baba ambae ni team popo
Ahahahahahahahahaha...my bad.!
DuuuhNawakaribisheni chitchat
Makapuku Forum
Milango iko waziPoa tutakuja
Unasubiri nini mpaka sasaDuuuh
Hata mi sijuiUnasubiri nini mpaka sasa
Ukishajua utaelekea mwenyeweHata mi sijui
Basi sawa mkuu nasubiri nikujue hukoUkishajua utaelekea mwenyewe