Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna jamaa alikuwa anaapa kabisa kuwa Koboko anaweza kuligonga jeshi zima la wananchi..hahaha..
You are talking mait.Typical Aussie huh
Nataja bundle la Kobokooo mkuuPata unlimited data /data isiyo na ukomo tumia hata 10000GB kwa siku.
Mwezi 1=9,000
Miezi 3=17,000
Mtandao wowote.
Wasiliana nami 0621 072 026
Kwa kweli ndio maana watu wanakuwa wazito kukujibu kwa sababu huwa ni bahati kupona,ila kama utagongwa kwenye mkono inatakiwa usiunyanyue mkono wacha ukae chini ili sumu isisambae haraka,kama ukigongwa shingoni hapo hakuna jinsi ni kifo tu kama umegongwa miguuni unaweza kuwa na bahati.wataalam wanashauri usipanic kwani moyo utasukuma damu kwa haraka.Katika uzi ambazo nimezisoma na kuzifuatilia kwa ukaribu zaidi ni huu uzi, ila kuna kitu ambacho naona wadau wote hakuna mtu alietoa tahadhari kwa kina incase ukila bite ya koboko ufanye vp kusurvive kwa huo md mfupi kabla hujafika hospitali?..
Huyuu balaa sumu yake ni kali 1200 times ukali wa Cyanide... Anauwezo wa kuua binadamu 26 by single bite ndani ya dak 2 tu dadekiiBlue ringed Octopus ni pweza mwenye sumu kuliko koboko.
View attachment 777051
Huyu akikung'ata huchukui dakika mbili.
Koboko mwenyewe anaisoma namba.kudaadedi.Huyuu balaa sumu yake ni kali 1200 times ukali wa Cyanide... Anauwezo wa kuua binadamu 26 by single bite ndani ya dak 2 tu dadekii
Mimi sikubaliani na kigezo wanachotumia kujua sumu iko kiasi gani, kigezo chenyewe ni panya wanachukua sumu halafu wana wadunga panya panya wengi watakao kufa ndio ukali wa sumu,lakini mimi nakataa, kwangu mimi Koboko ni namba Moja.Nimejaribu kufuatilia zaidi kumbe kuna nyoka mwenye sumu zaidi ya koboko anapatika hasa Australia ila mostly anaishi baharini.
Hawa hata kama wana sumu kali sana ila probality ya kukutana nao ni ndogo sana kwasababu wanaisha mazingira yaoHuyuu balaa sumu yake ni kali 1200 times ukali wa Cyanide... Anauwezo wa kuua binadamu 26 by single bite ndani ya dak 2 tu dadekii
Asante mkuu,lakini kuhusu sumu vipiGreen Mamba huwa ni wadogo halafu hawana ukorofi kama Blacks haha. Kilatini anaitwa Mamba Negro.
Kila jumapili na ijumaa watu wanapoenda beach ni kama unaenda kuonana nao labda kama hujui kuogelea.Hawa hata kama wana sumu kali sana ila probality ya kukutana nao ni ndogo sana kwasababu wanaisha mazingira yao
Na case zao ni chache sana kwasababu ya territory yao ni ngumu kuonana nao mara nyingi
Sumu zao ni kama sawa tu ila Green Mamba ni mpole sana na unaweza kulala nae chumba kimoja bila ya shida yoyote.Asante mkuu,lakini kuhusu sumu vipi
nao sumu yao ni kali au wao ni poa
kama muonekano wao ulivyo?
Sasa mzee wa kazi wanasema no research no right to speak!. Wenzetu wako advanced sana hata kama wanatumia panya kufanya research mwisho wa siku wanakuja na observation na ndo mana wamepanga top ten ya most venom snake ,inamanisha waliona matokea yke baada ya kuwadunga mmoja baada ya mwingine.Mimi sikubaliani na kigezo wanachotumia kujua sumu iko kiasi gani, kigezo chenyewe ni panya wanachukua sumu halafu wana wadunga panya panya wengi watakao kufa ndio ukali wa sumu,lakini mimi nakataa, kwangu mimi Koboko ni namba Moja.
Hapo sasa kwenye ulimi ndo utajua maajabu ya Mungu.Nyoka husikia kivyao sio viziwi kabisa kama baadhi ya watu wanavyoamini,kuna baadhi ya nyoka wanaona mpaka kwenye giza,kitu ambacho binaadamu wamegundua juzijuzi,halafu nyoka anatumia ulimi wake kulamba harufu vizuri kuliko pua zetu.
Kuna wataalam wengine kutoka Afrika ya kusini pia wanakataa na mimi nawaunga mkono.Sasa mzee wa kazi wanasema no research no right to speak!. Wenzetu wako advanced sana hata kama wanatumia panya kufanya research mwisho wa siku wanakuja na observation na ndo mana wamepanga top ten ya most venom snake ,inamanisha waliona matokea yke baada ya kuwadunga mmoja baada ya mwingine.