Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Bro ni nadra sana kumuona pamoja na maeneo kama tabora, itigi, manyoni kuwa na koboko wengi ila waliobahatika kuwaona wanaweza kuwa wachache mno
Hawa nyoka wapo. Ila si busara wakawa kila sehemu. Ni wakali na wakatili sana. Kwenye majumba ya kuhifadhia nyoka wapo. Arusha na Mikumi nimeona hawa nyoka
 
Dag

Dah 'Nyokaphobia' 🙌🏾😅
 
Kuna jamaa kwenye chanel flani ivi anawakamata hawa nyoka kirahisi mno , nafikiri mna wa over rate japo uwezo wanao.
 
Kuna jamaa kwenye chanel flani ivi anawakamata hawa nyoka kirahisi mno , nafikiri mna wa over rate japo uwezo wanao.
Sio yule jamaa na mkewe kweli! Kwenye kipindi cha snake in the city Mkuu' maana na wao si haba against thy black mambas
 
Sio yule jamaa na mkewe kweli! Kwenye kipindi cha snake in the city Mkuu' maana na wao si haba against thy black mambas
Yah wamejichora tatoo za majoka ivi , hao nyoka ni wakali kweli ila sio kihivyo ! Kiasi cha kutisha binadamu.
 
Kuna kipindi nilikuwa Kigoma maeneo ya Uvinza nilinunua eneo heka 2 sasa naskia maeneo Yale wapo Koboko kibao Mara kibao nilikuta ngedere, nyani wamekufa wenyeji wakasema ni koboko ndo wauaji hadi sasa sijarudi kucheki Shanna hili naogopa
 
Hii story ya kitambo mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…