Wakati anavuka barabara huwezi kuona kichwa wala mkia.Wanaweza kufikia mara nne ya kima cha binadamu
Hahhahaa, jombaaaaaaKoboko akikukimbiza kama kuna mteremko huwa ana tabia ya kung'ata mkia wake halafu anakuwa kama gurudumu kubwa la baiskeli dakika moja tu aanakufikia.
Ushahidi upo mkuu!Hahhahaa, jombaaaaaa
Da, c mchezoKitu nilichojifunza kuhusu koboko ukikutana nae polini okota tofali au jiwe lolote kisha liweke kichwani haraka haraka hivyo akija kugonga kichwani atagonga jiwe au tofali .
Kama hakuna tofali okota mti au tumia gongo uanze kupambana nae ukiona amekurukia kichwani au anakuja mpige na gongo kumzuia asigonge utasoni na wakati unapambana nae usiwe muoga yaani wee hakikisha unalinda kichwa chako tuu na katika mapambano yako hakikisha unamtaja mungu wako akusaidiee koboko akuone huruma akusamehee maana yule mdudu huwa hawezi kusalender katika mapambano
Huyo hapo nyuma yako humwoni???Khaaa...nisingependa kukutana na aina ya nyoka yoyote maishani mwangu!
Hapana hamisi sio mnyamwezi yule ni muha kgm sema kakuliaa tuu paleHamisi ni Mnyamwezi na ni Waziri wa mambo ya wanyama na utalii anatakiwa kumtangaza huyu Koboko ili watalii wapenzi wa huyu jamaa wamiminike.
Duh basi huyu koboko atakuwa kumamae sana. Siendi Tabora hata nikirogwa...Koboko akikukimbiza kama kuna mteremko huwa ana tabia ya kung'ata mkia wake halafu anakuwa kama gurudumu kubwa la baiskeli dakika moja tu aanakufikia.
Huyu sio nyoka. Ni shetaniKuna kisa kimoja cha Koboko alitaka kuAmbush gar lai wawindaji wenye silaha wakamtwanga risasi akakimbilia juu ya mti pamoja na kuwa karibu na kukatika na (Spinal Cord kukatika) alikaa kuanzia jioni mpaka asubuhi yake ndio akafa.
View attachment 769349
Koboko ni nyoka hatari kabisa kuliko woote.
Daadeki... acha niendelee kuitwa mwanaume wa Dar kuliko kukutana na hili shetani linalotambaaMaumivu utasikia km kawaida ila akili ya haraka kutambua kua mjomba tyr ameshafanya yake ndio inakua ngumu maana Maumivu yakung'atwa na nyoka hua sio makali sana kutokana na uharaka wa tukio jinsi linavyofanyika ila ndani ya dakika 5 baada ya sumu kusambaa mwili akili ndio inaanza kukukaa sawa na unaanza kuwaona marehemu babu na bibi yako wanakuchekea na kukukaribisha kwenye makazi mapya.
Ni kweli aisee kuna siku tulikuwa tunaelekea Horohoro njiani tukamuona mzee anakatisha kajaa barabara yote lakini sina uhakika kama alikuwa yeye au python maana tulisimama mbali kidogo kumuacha aende kwa amani ilikuwa ndio kumepambazuka.Wakati anavuka barabara huwezi kuona kichwa wala mkia.
Mngemkanyaga akafie mbali huyo shetani mtambaaji.Ni kweli aisee kuna siku tulikuwa tunaelekea Horohoro njiani tukamuona mzee anakatisha kajaa barabara yote lakini sina uhakika kama alikuwa yeye au python maana tulisimama mbali kidogo kumuacha aende kwa amani ilikuwa ndio kumepambazuka.
Ingawa nilitamani nimpige hata picha
Tena nakuomba usijaribu kumkanyaga maana ana mbio za ajabu na anairukia gari na kujificha kwenye engine mpaka utakaposimama ndio utamjua kwanini aliitwa kobokoMngemkanyaga akafie mbali huyo shetani mtambaaji.
Yani gari impitie juu afu asife? Hapa tunazungumzia nyoka au shetani?Tena nakuomba usijaribu kumkanyaga maana ana mbio za ajabu na anairukia gari na kujificha kwenye engine mpaka utakaposimama ndio utamjua kwanini aliitwa koboko
Ana uwezo wa kugonga watu 25 kwa muda mchache sana na lina hasira sana za haraka haraka
Ni sheitwan huyu sio kiumbe wa kawaida
Usijaribu kumkanyaga
Duu una hiyoo clip kiongoziiiKuna Video moja huko Kruger park Afrika ya Kusini jamaa yuko ndani ya gari akamuona koboko kwenye kichaka kumuangalia mara ya pili hamuoni aliporudi nyumbani wakati anataka kushuka kwenye gari akagongwa koboko alikuwa amejificha chini ya gari.
Hii Mada ina mchanganyiko sana wa aina za nyoka, black mamba ni nyoka Mwenye aibu "mstaarabu", hukimbia watu, na asilimia kubwa ya nyoka waliopo Tanzania has a maeneo ya joto ni hawa, ila akidhani amezingirwa hushambulia kwa kujihami, ana sumu mbaya sana, lakini huyu sio koboko, cobra wala kifutu, Mara nyingi ana rangi ya kijivu, asubuhi unaweza za kumuona anaota jua njiani akikuona anajifungua taratibu na kuondoka.Mkuu huyo ni nyoka aliyetumwa kichawi. Sifa moja ya black mamba NI NYOKA MWENYE AIBU SANA, nyoka huyu hawezi kupambana uso kwa uso na mtu, ukimuona tu anakimbia sana. Na hii story yako imetiwa chumvi sana hasa hapo uliposema walikuta gamba la mamba aliyejichuna baada ya kumgonga huyo bwana, zoezi la nyoka kujitoa gamba ni la muhimu sana kwake na huchukua muda mrefu. huwa anajitoa sehemu iliyotulia sana (mbali porini) kusema alijitoa hapo ndani ni uongo mkubwa.