Nyegere=Honey badgerHivi mkuu,
Kati ya Mongoose na Honer badger.
Ni nani kati ya hao ndie nyegere/nguchiro kwa kiswahili.
Huyu jamaa alikuwa anatafuta sifa, hivi hakuna mavazi ambayo unaweza kuvaa na ukamsogolea kabisa na kumkamata, mf kama yale ya wale jamaa wa kurina asaliUshauri wangu ni kosa kubwa kumsogelea Koboko kwa ukaribu kama huu huyu anauwezo wa kukurukia
View attachment 771276
Ubarikiwe sn mkuuNyegere=Honey badger
Nguchiro=Mongoose
Inawezekana ila kwa sababu dunia yaleo camera zina uwezo wa kuZoom kwa umbali mrefu hakuna haja ya kumletea stress mnyama huyu wa mwitu.Huyu jamaa alikuwa anatafuta sifa, hivi hakuna mavazi ambayo unaweza kuvaa na ukamsogolea kabisa na kumkamata, mf kama yale ya wale jamaa wa kurina asali
Tatizo lake ni kumchanganya koboko na vinyoka vingine vya mwitu,hapo ndio anapogongwa.Eagle mshenzi tu na yeye....much know mnoo, kujifanya hakoseagi
Safi sana!View attachment 770748
Tai huwa anajifanya kichaa,kwa koboko huwa anatulia mwenyewe kama huyu keshagongwa halafu amewekwa chini ya ulinzi mpaka afe.
Ujuaji ukichanganya na njaa ni combinenga ya hatari unaishia kugongwa Tai bhana.Safi sana!
Tai mjuaji mnoo
We acha tu mkuu.....yaani huko porini kuna majanga![emoji2] [emoji2] [emoji2] unavyoelezea sasaa.. Unajua kusimulia wewe haha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji122] [emoji122]Mkuu m naonaga nyoka ni nyoka tu nikikutana nae ni mbio mpk miguu ivunjike
Heeee pole mkuu!hyu nyoka alimuua mjomba angu daah...nmekumbka mbali huyu mdudu ni hatar san[emoji26] [emoji24]
Huyu mzungu alipotezewa?Ushauri wangu ni kosa kubwa kumsogelea Koboko kwa ukaribu kama huu huyu anauwezo wa kukurukia
View attachment 771276
Mkuu huyo nyoka ameshiba. Nadhan unajua akimeza kitu nyoka anaweza kaa hadi wiki anafanya "digestion" kikiisha tu chakula tumbon huyu sungura hutomuona hapo tena.Wacheni mungu aitwe mungu,baada ya nyoka wa kufugwa kuletewa mlo wake badala ya kuula akajenga urafiki.View attachment 772370
Aiseee hapo sasa wew kawarushiee maweee uonee mama...eeHivi mkuu,
Kati ya Mongoose na Honer badger.
Ni nani kati ya hao ndie nyegere/nguchiro kwa kiswahili.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haaahaaaJamaa fala sana wew