Unajua kilichowashangaza watu ni kuwa huyu nyoka ni wakufugwa na huwa wanajua saa ngapi ana njaa ndio wanamuwekea msosi kwa mshangao wao badala ya kumla akamfanya rafiki ilibidi baadae wautoe msosi huo wakauleta mwingine ukaliwa.Mkuu huyo nyoka ameshiba. Nadhan unajua akimeza kitu nyoka anaweza kaa hadi wiki anafanya "digestion" kikiisha tu chakula tumbon huyu sungura hutomuona hapo tena.
Kuna zoo moja ipo Mbeya inaitwa IFISI (nadhan ni ya Waanglikani) kuna michatu mikubwa balaa ikishiba wala haina habar na sungura waliopo kwenye vyumba vyao tatizo njoo ikiwapata utaona mziki wake.
Nguchiro moja ya chakula chake ni nyoka!Inaitwa"nia ya mkabaji"
Utakitema ulichokimeza kudadadeki...
Ujasiri wa mbele ya kamera humponza mtu.Huyu mzungu alipotezewa?
Ukishaona Koboko ananyanyua kichwa hivyo ujue anakupigia mahesabu.Huyu mzungu alipotezewa?
Na kweli mambas ni khabari nyingine halafu mshari sana
Ila kwa badger au mongoose ndio balaa pia kuna ndege anitwa Secretary Bird huyu anapiga karate kama Jet Li
Ahsante kwa hilo hahahaUnafaa kuongoza watalii.... Si kwa maelezo hayo murua!
Halafu unakuta kuna watu wana amini kuwa koboko anagonga kichwa tu na sio kwingine.Koboko aliyekomaa huwa anagonga kuanzia mabegani na kichwani,hayo maeneo ni venom inasafiri haraka kwenda kwenye moyo.
Koboko akiwa mrefu aliekomaa akisimama katika mashambulizi anafikia kichwani shingoni kwa urahisi sana,na ukisha anguka anaanza kugonga pipote kwenye mwili.Halafu unakuta kuna watu wana amini kuwa koboko anagonga kichwa tu na sio kwingine.
We waache dawa yao iko jikoniWanatesa watu sana huko tabora
Hapo nimepata picha kamiliView attachment 772596
Huu ni mkao wa mashambulizi koboko husimama zaidi ya hapa,na koboko aliekomaa hupata tabu anapooambana na viumbe wadogo ila sio kwa kiumbe kama binadamu.
Ufanyeje sasa? Hataree tupu!Duu uko vitani maana nimekumbuka ghafla vita
Eti jiue kabisa
Na kweli maana ukimwangalia tu mchechetoUfanyeje sasa? Hataree tupu!