Movic Evara
Senior Member
- Jan 31, 2018
- 197
- 431
"Kushinda ugenini imewapa hali ya kujiamini wachezaji wangu, nimewaambia Mchezo bado haujaisha tunapaswa kucheza kana kwamba hatujashinda ugenini. Tunapaswa kufunga magoli mapema. Tutacheza kwa mpango tofauti na ule tuliocheza Tanzania"
Marcel Koller Kocha wa klabu ya Al-Ahly
"Nilifurahishwa na timu yangu ilivyocheza mchezo wa kwanza, takwimu za timu yangu zilikuwa juu tulitengeneza nafasi nyingi, niwaambie tu nitacheza kama nilivyocheza nyumbani kumiliki mpira na kushambulia lakini nitaongeza na mbinu zangu nyingine na nimewaambia wachezaji wangu kama tutazitumia nafasi, nitashinda hii mechi"
"Nina imani tunashinda mechi hii, Imani yangu inaniambia hivyo sitawaogopa japo nacheza na timu kubwa Afrika na kumiliki mpira mbele ya Al Ahly sio jambo jepesi."
Abdelhak Benchikha, Kocha wa klabu ya Simba SC
Marcel Koller Kocha wa klabu ya Al-Ahly
"Nilifurahishwa na timu yangu ilivyocheza mchezo wa kwanza, takwimu za timu yangu zilikuwa juu tulitengeneza nafasi nyingi, niwaambie tu nitacheza kama nilivyocheza nyumbani kumiliki mpira na kushambulia lakini nitaongeza na mbinu zangu nyingine na nimewaambia wachezaji wangu kama tutazitumia nafasi, nitashinda hii mechi"
"Nina imani tunashinda mechi hii, Imani yangu inaniambia hivyo sitawaogopa japo nacheza na timu kubwa Afrika na kumiliki mpira mbele ya Al Ahly sio jambo jepesi."
Abdelhak Benchikha, Kocha wa klabu ya Simba SC