Kocha aliniita Mimi ni Sokwe napaswa kurudi misitu ya Afrika nikaungane na wenzangu

Kocha aliniita Mimi ni Sokwe napaswa kurudi misitu ya Afrika nikaungane na wenzangu

Matanga

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2019
Posts
2,281
Reaction score
3,976
Mshambuliaji wa FC DALLAS fafa picault (29) anasema moja ya matukio ambayo hawezi kusahau katika maisha YAKE ya soka Ni pale AMBAPO KOCHA wa Timu ya Vijana ya CAGLIARI Alipomuita yeye Ni Sokwe hafundishiki anapaswa kurudi MISITU YA AFRIKA

FAFA akiwa chini ya miaka 17 Alijiunga na timu ya Vijana ya CAGLIARI AKITOKEA NCHINI MAREKANI
Akiwa hapo alikutwa na balaa zito la UBAGUZI wa RANGI kutoka kwa KOCHA wake Alipomuita yeye Ni Sokwe asiyefundishika
FAFA anasema hii Hali ilimuuma zaidi mpaka leo akikumbuka tukio Hilo

Black live matters
 
Ilimuuma labda kwasababu ni sokwe kweli,kama mimi sio sokwe haiwezi niuma kabisa,
 
Mwambieni huyo mchezaji mimi babu yake niko Juu ya miti sasa hivi niko nakula matunda na kucheza cheza na wapwa zake juu ya miti na baadae tutaenda kuiba mahindi kwny mashamba ya watu.
 
Samueli Eto alikua akifunga ma goli anaruka kama nyani uwanjani huku akiomba wamrushie ndizi ale.

Unafikiri huyo anayekuita sokwe hajui kwamba wewe sio sokwe?

Point hapo ni kwamba amekushusha mpaka kwenye viwango vya sokwe kwa sababu ya rangi yako.

Ukiitwa sokwe na mtu mweupe lazima ushtuke na kufadhaika aisee! Sio kitu kidogo hicho!
 
Huwa mnanishangaza sana kuumizwa na tusi jepesi kama hili!
Mbona huku ni kawaida sana mama kumtusi mwanae tusi kama mbwa wewe..ngedere...Kuku wewe! Sasa ni nini huwa kinawauma mkiitwa nyani ama sokwe na wakati ninyi sio sokwe?
 
Mwambieni huyo mchezaji mimi babu yake niko Juu ya miti sasa hivi niko nakula matunda na kucheza cheza na wapwa zake juu ya miti na baadae tutaenda kuiba mahindi kwny mashamba ya watu.
Mkuu uwiiii umeniua 🤣🤣🤣😂 da mna majibu aseee🙌🙌
 
Halafu ni kawaida hata hapa jf kuona mtu anaitwa nyumbu kisa tu,hawazi kama wanavyotaka wamtukanao.
 
Kwa mwanaume ni ujinga tu kumaindi vitu vidogo vidogo kama hivyo.

Mtu anawezaje kukushusha kwa kukwambia tusi ambalo hata uwezekano wa kuwa hivyo haupo?
Unafikiri huyo anayekuita sokwe hajui kwamba wewe sio sokwe?

Point hapo ni kwamba amekushusha mpaka kwenye viwango vya sokwe kwa sababu ya rangi yako.

Ukiitwa sokwe na mtu mweupe lazima ushtuke na kufadhaika aisee! Sio kitu kidogo hicho!
 
Na hiyo ndio attitude ambayo unatakiwa kuwa nayo ukienda kutafuta ugali kwenye nchi za hawa wazungu.

Mie nara mia nibaguliwe na mzungu lakini sio dharau na ubaguzi tunaofanyiwa na waafrika wenzetu

Watu weupe wanajifunzia ubaguzi kwa watu weusi.
 
Back
Top Bottom