Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Youssouph Dabo ametangazwa rasmi kuwa kocha mpya wa AS Vita Club, klabu maarufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Dabo anachukua nafasi hii baada ya kuachishwa kazi na Azam FC, ambapo aliifundisha timu hiyo.
Uteuzi wa Dabo unakuja wakati ambapo AS Vita Club inahitaji kuimarisha mipango yake ya ushindani, hasa katika mashindano ya ndani.
Pia, Soma:
• RASMI: Kocha wa Azam FC, Youssouph Dabo avunjiwa mkataba
• Azam FC na Dabo habari imeisha. He will be fired upon arriving in Tanzania
Uteuzi wa Dabo unakuja wakati ambapo AS Vita Club inahitaji kuimarisha mipango yake ya ushindani, hasa katika mashindano ya ndani.
Pia, Soma:
• RASMI: Kocha wa Azam FC, Youssouph Dabo avunjiwa mkataba
• Azam FC na Dabo habari imeisha. He will be fired upon arriving in Tanzania