Waliosema kisa dini , haya As Vita nao tanzanania wakiristo ni watu wa ajabu sijawah kuona neno la kwanza kwenye uchambuz wa lolote kama kuna muislam Ana kimbilia dini according nyerere ni watu waliofilisika kimawazo hata baada ya kupewa mifano na majina ya wakristo walio ktk taasisi za baharesa mfano tv na redio bado wanakwambia kuna udini sasa wanafikiri wale watt ndg na vijukuu vya baharesa vilivoenda shule vikavlfanye kaz kuwa walimu wa primary namtumbo...na hawajui lazma sehemu potential kwa mfanya biashara yyt lazma awake mtu loyal kwake sasa tuone yusuf dabo alikuja azam kwa sijda yake usoni au kwa utaalam wake haya vigango