Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Emmanuel Amunike, amesema kumkosa mlinzi wa pembeni, Shomari Kapombe katika kikosi chake ni pigo kubwa
Akizungumza baada ya mazoezi ya juzi jioni yaliyofanyika Uwanja wa Boko, Amunike alisema pengo la Kapombe ni kubwa lakini atajitahidi kuangalia mchezaji wa kuliziba
Alisema Kapombe ni beki mwenye uwezo mkubwa, alifuatilia mechi alizocheza Ligi Kuu ya Tanzania Bara na kuona kiwango chake, alitamani kuwa naye katika kikosi hicho lakini hana uwezo wa kumrudisha
“Kapombe ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa, anaamua nini amfanye adui anapokuwa uwanjani, kiukweli hazungumziki lakini ni mtu ambaye ameniachia pengo”, alisema kocha huyo raia wa Nigeria
Source:
Akizungumza baada ya mazoezi ya juzi jioni yaliyofanyika Uwanja wa Boko, Amunike alisema pengo la Kapombe ni kubwa lakini atajitahidi kuangalia mchezaji wa kuliziba
Alisema Kapombe ni beki mwenye uwezo mkubwa, alifuatilia mechi alizocheza Ligi Kuu ya Tanzania Bara na kuona kiwango chake, alitamani kuwa naye katika kikosi hicho lakini hana uwezo wa kumrudisha
“Kapombe ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa, anaamua nini amfanye adui anapokuwa uwanjani, kiukweli hazungumziki lakini ni mtu ambaye ameniachia pengo”, alisema kocha huyo raia wa Nigeria
Source: