Huo ndo ukweli, Bila Simba SC hakuna Taifa Stars.Naona Mikia mnajitekenya na kucheka wenyewe
Subiri matokeo,by the way mtani upo maana umepotea sanaHuo ndo ukweli, Bila Simba SC hakuna Taifa Stars.
Subiri matokeo,by the way mtani upo maana umepotea sana
Kweli Mkuu.Uamuzi ulifoanya na TFF kumpotosha kocha hauna maana yoyote. Huwezi ukataja wachezaji wenye nidhamu Tanzania ukamwacha Kapombe, Bocco na Kichuya
Stars ilishawahi fanya kitu gani cha maana kwani? Stars hata wakiitwa wachezaji wa Njombe mji tu Haina shida.Huo ndo ukweli, Bila Simba SC hakuna Taifa Stars.
Wachezaji wa Simba mkiwepo Taifa Stars Huwa inafanya nini cha maana? Maana mnaongea utafikiri Stars ilishawahi shiriki kombe la dunia.Kwa jinsi sisi mashabiki wa Taifa "Simba" Stars ambavyo kinyongo chetu na Amunike hakijaisha, matokeo ya siku hiyo tunayasubiri kwa hamu sana. Majukumu tu Mtani yalizidi.. Ila tupo pamoja.
Sasa wewe ndo unamsemae? Yy mwenyewe kasema ni pengo basi tukupe timu ww basi manake unaonesha unaujua saaanaEndeleeni kujiita vichaa tu.....Amunike anajitambua....no Pengo at all
Umuhimu wa Simba SC katika timu ya Taifa Stars utaonekana Jumamosi.. Vuta subira Mkuu.Wachezaji wa Simba mkiwepo Taifa Stars Huwa inafanya nini cha maana? Maana mnaongea utafikiri Stars ilishawahi shiriki kombe la dunia.
Ongeza Erasto Edward NyoniUamuzi ulifoanya na TFF kumpotosha kocha hauna maana yoyote. Huwezi ukataja wachezaji wenye nidhamu Tanzania ukamwacha Kapombe, Bocco na Kichuya
Hakuna cha Jumamosi Wala Jumapili hata first eleven yote ingekuwa Simba Taifa Stars Huwa haifiki popote.Kwani Miaka ambapo wachezaji wa Simba Huwa wanakwepo Stars Huwa inafika wapi? Stars hata wawepo wachezaji wa Bomu Bomu United au Wale wa Ndo ndo Cup Stars itakuwa ni ile ile tu kichwa cha mwendawazimu.Umuhimu wa Simba SC katika timu ya Taifa Stars utaonekana Jumamosi.. Vuta subira Mkuu.
Kwa Mfano wangekwepo unafikiri umuhimu wao ungekuwa ni upi?Umuhimu wa Simba SC katika timu ya Taifa Stars utaonekana Jumamosi.. Vuta subira Mkuu.