bahatibahati
Member
- Jul 4, 2023
- 44
- 84
Haya nenda ukashitaki FIFA.Simba mpeni ukocha mkuu Juma Mgunda, timu yetu ya Simba siyo timu ya kufanya majaribio ya kuajiri kocha ambaye hajawi kuwa kocha mkuu wa timu yeyote.
Fadlu David's amekuwa kocha msaidizi wa kocha aliyeondoka wa singida black star.
Chonde chonde tusifanye makosa hayo.
Bingwa wa reverse "anaekata"Simba mpeni ukocha mkuu Juma Mgunda, timu yetu ya Simba siyo timu ya kufanya majaribio ya kuajiri kocha ambaye hajawi kuwa kocha mkuu wa timu yeyote.
Fadlu David's amekuwa kocha msaidizi wa kocha aliyeondoka wa singida black star.
Chonde chonde tusifanye makosa hayo.
Tunataka MgundaSimba mpeni ukocha mkuu Juma Mgunda, timu yetu ya Simba siyo timu ya kufanya majaribio ya kuajiri kocha ambaye hajawi kuwa kocha mkuu wa timu yeyote.
Fadlu David's amekuwa kocha msaidizi wa kocha aliyeondoka wa singida black star.
Chonde chonde tusifanye makosa hayo.
MO akizingua hatukubaliWasiseme hauja washauri.
Teh teh teh teh teh teh teh...Simba Mtoto.Simba yanga na azam wanataka kocha anayetua dar na ndege sio anakuja dar na ratco au kimbinyiko 🤣🤣🤣🤣🤣
Makosa simba lazma yawepo tu tena na simu huu. Waache kudata na rangi nyeupe.Simba mpeni ukocha mkuu Juma Mgunda, timu yetu ya Simba siyo timu ya kufanya majaribio ya kuajiri kocha ambaye hajawi kuwa kocha mkuu wa timu yeyote.
Fadlu David's amekuwa kocha msaidizi wa kocha aliyeondoka wa singida black star.
Chonde chonde tusifanye makosa hayo.