Kocha Benchika unaharibu CV yako

Kocha Benchika unaharibu CV yako

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983
Bila kupoteza muda moja kwa moja kwenye mada.
Kwa mambo na mwendelezo wa jaribu tena FC aka makolo,kocha Benchika ni vema ukajitenga na timu hii kwa faida yako.
Timu ipo kiuswahili Swahili sana na kuendeshwa kijanja janja.
Msimuu huu hutaambulia taji lolote hapa utaenda kuchafua CV yako nzuri.
Walio karibu na kocha huyu mtaalamu wa mpira wa mwambie ni bora apate hasara ya kuondoka kuliko kuchafua CV.
Nenda kwenye timu zenye malengo zipo nyingi hapa Afrika.
 
Pesa anazolipwa wewe unapata shilingi ngapi?
Hakujui Wala hajawahi kikusikia na pia hategemei kukutana na wewe na wakati snatengeneza cv yake hujamdaidia popote.
Nyi ndio Aina ya watu ukimwona mtu ana pesaa bila kujua amepatajenakimbilia kumshauri na ya kutumika.
 
MIMI ni Simba lakini Hawa Viongozi wa Simba ni wa kufukuza wote..Dewji anaitumia Simba kwa manufaa yake hela za ujanja ujanja hizi. Hatoi hela

Fikiria kama sio ujinga wa hali ya juu Unacheza na Al Ahly wewe unapost picha za Mayele. MAYELE wa nini kwanini wanarudia makosa yale yale ya kusajili REJECT???

Mayele unamuonyesha wakati wa mechi kubwa huku ukijua sio mchezaji wenu na hawasaidii na ukweli mwingine hana uwezo wowote AFCON tulimuona anababaisha tu...

Walileta story za manzuki utapeli tu..
 
Mtoa mada umetiisha!

Lakini mbali na leaders ,katiba yetu ni mbovu sana ni ya hovyo
 
Bila kupoteza muda moja kwa moja kwenye mada.
Kwa mambo na mwendelezo wa jaribu tena FC aka makolo,kocha Benchika ni vema ukajitenga na timu hii kwa faida yako.
Timu ipo kiuswahili Swahili sana na kuendeshwa kijanja janja.
Msimuu huu hutaambulia taji lolote hapa utaenda kuchafua CV yako nzuri.
Walio karibu na kocha huyu mtaalamu wa mpira wa mwambie ni bora apate hasara ya kuondoka kuliko kuchafua CV.
Nenda kwenye timu zenye malengo zipo nyingi hapa Afrika.
Aende anajiendea tu au mpaka ahitajiwe
 
Simba walikuwa bize na Mamelodi wakasahau kama Wana timu inashiriki mashindano.

Sasa akili zitawarudia pale watakapokosa hata tiketi ya kushiriki club bingwa mwakani.

Nafasi ya Pili Azam wanaitaka ili washiriki club bingwa.
Hii ya Azam kwenda club bingwa haina faida, Azam yale mashindano hayawezi, akapambane shirikisho huko.
 
Bila kupoteza muda moja kwa moja kwenye mada.
Kwa mambo na mwendelezo wa jaribu tena FC aka makolo,kocha Benchika ni vema ukajitenga na timu hii kwa faida yako.
Timu ipo kiuswahili Swahili sana na kuendeshwa kijanja janja.
Msimuu huu hutaambulia taji lolote hapa utaenda kuchafua CV yako nzuri.
Walio karibu na kocha huyu mtaalamu wa mpira wa mwambie ni bora apate hasara ya kuondoka kuliko kuchafua CV.
Nenda kwenye timu zenye malengo zipo nyingi hapa Afrika.
ni kweli kabisa jana nimemuona anatoka uwanjani,kimyakimya mikono nyuma
 
Mimi simba damu ila nabariki hilo,yule mzee aondoke zake tu ,simba uchwara inamuharibia Cv yake tukuka na tusipostuka ipo siku Sultani Mangungu na genge lake watataka wawe makocha pia
 
Bila kupoteza muda moja kwa moja kwenye mada.
Kwa mambo na mwendelezo wa jaribu tena FC aka makolo,kocha Benchika ni vema ukajitenga na timu hii kwa faida yako.
Timu ipo kiuswahili Swahili sana na kuendeshwa kijanja janja.
Msimuu huu hutaambulia taji lolote hapa utaenda kuchafua CV yako nzuri.
Walio karibu na kocha huyu mtaalamu wa mpira wa mwambie ni bora apate hasara ya kuondoka kuliko kuchafua CV.
Nenda kwenye timu zenye malengo zipo nyingi hapa Afrika.
Hyo timu waachiwe mgunda na matola coz hao ni wazugaji na vibaraka wa akina mangungu!!!!
 
Mimi simba damu ila nabariki hilo,yule mzee aondoke zake tu ,simba uchwara inamuharibia Cv yake tukuka na tusipostuka ipo siku Sultani Mangungu na genge lake watataka wawe makocha pia
Nyinyi mlishaletewa Manzoki mnataka nini tena?

Subirini mletewe na Mayele ndio mridhike.
 
Back
Top Bottom