Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Bila kupoteza muda moja kwa moja kwenye mada.
Kwa mambo na mwendelezo wa jaribu tena FC aka makolo,kocha Benchika ni vema ukajitenga na timu hii kwa faida yako.
Timu ipo kiuswahili Swahili sana na kuendeshwa kijanja janja.
Msimuu huu hutaambulia taji lolote hapa utaenda kuchafua CV yako nzuri.
Walio karibu na kocha huyu mtaalamu wa mpira wa mwambie ni bora apate hasara ya kuondoka kuliko kuchafua CV.
Nenda kwenye timu zenye malengo zipo nyingi hapa Afrika.
Kwa mambo na mwendelezo wa jaribu tena FC aka makolo,kocha Benchika ni vema ukajitenga na timu hii kwa faida yako.
Timu ipo kiuswahili Swahili sana na kuendeshwa kijanja janja.
Msimuu huu hutaambulia taji lolote hapa utaenda kuchafua CV yako nzuri.
Walio karibu na kocha huyu mtaalamu wa mpira wa mwambie ni bora apate hasara ya kuondoka kuliko kuchafua CV.
Nenda kwenye timu zenye malengo zipo nyingi hapa Afrika.