Kocha Benchikha Abdelhak Simba ni Injini ya FUSO kwenye Bajaj

Nani alikwambia mpira wa miguu ni mchezo wa medali?imekuwa Olympic hiyo?
 
Tatizo la Watanzania ni Moja.
Yani akisemwa mmoja mnataka na mwingine asemwe serious!!
Yan Watanzania tupo hivi ukipigwa wewe na baba kwa kosa ambalo mwenzako hakupigwa unaanza kulalamika mbona flani ulimwacha seriouss!!
Yan ukifutwa Mtu kaz kwa kosa ambalo mwenzako aliachwa nalo, unafufua kaburi mbona flani mlimwacha serious!!!

Tujifunze kukubali makosa yetu sisi bila kuangalia ya mwingine.
 
muda wao umeisha we samaki
simba ina tabia ya kushikilia wazee wao (Chama, Bocco, Ndemla, etc) eti wasiende Yanga na ina tabia ya kupokea wazee (Saido, Niyonzima, etc) kutoka Yanga, ila yanga inapokea vijana (Yondani, SMG, Ajib, etc) kutoka Simba
 
Kwa wachezaji wale washikaji zake matola kina Kennedy juma na jimson mwanuke simba ina safari ndefu sana.
 
mkuu ,wee mkomavu
 
Mkuu lazima tuseme ukweli ili tupone, kusifia timu zetu kishabiki hakuwezi kutusaidia sisi, timu zetu na mpira wetu.

Simba mafanikio waliyokuwa wakiyapata kwa miaka 4 mfululizo yalichangiwa na vitu vifuatavyo:
1. usajili mzuri wa wachezaji vijana na benchi zuri la ufundi
2. Uongozi mzuri (Mo, Barbara, Haji Manara)
3. Pesa za mo kwa waamuzi (kununua mechi), hasa pale ambapo simba ilikuwa na mashindano mengi (ligi, caf, FA, mapinduzi) inayoshiriki kwa wakati mmoja kuliko timu nyingine. Bajeti ya kushinda mechi ilitengwa. Tusibishane kwenye hili nina ushahidi nalo.
4. Upendeleo wa TFF katika ratiba. Kuna wakati Simba ilikuwa na vipolo 11 ambavyo hajacheza.
5. KwaMkapa hatoki mtu (ulozi na ?pulizapuliza kwenye vyumba)
 
Uongo mtupu.

Weka ushahidi kayasema wapi hayo ya vibajaji na fuso kama u nkweli.
Benchikha ni kocha mkubwa sana Afrika hiyo haina ubishi, Simba ni miongozi mwa feeder clubs Afrika hasa kwa timu za Kaskazini, haiwezi kugombania wachezaji wazuri sana na timu kubwa. Sio kocha wa kukuza vipaji bali ni kocha wa matokeo ya leoleo.
 
Benchikha ni kocha mkubwa sana Afrika hiyo haina ubishi, Simba ni miongozi mwa feeder clubs Afrika hasa kwa timu za Kaskazini, haiwezi kugombania wachezaji wazuri sana na timu kubwa. Sio kocha wa kukuza vipaji bali ni kocha wa matokeo ya leoleo.
Wacha porojo, nimeandika hivi, jibu nilichoandika:

Weka ushahidi kayasema wapi hayo ya vibajaji na fuso kama u mkweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…