Kocha Emmanuel Amunike hatufai

Kocha Emmanuel Amunike hatufai

Yohakimu

New Member
Joined
Jun 24, 2019
Posts
1
Reaction score
0
Kocha Amunike ametoka kwao kuja kutuharibia Taifa Stars. Kawaacha Afcon Ajibu na Mouse eti hawana nidhamu. Tumeona makocha wangapi wakifanya kazi na wachezaji wasiokuwa na nidhamu lakini wanacheza vizuri. Mchukue Mario Balloteli. Yeye ni kichaa kabisa lakini makocha Wa Italia hawamwachi. Pia waangalie Romario wa Brazil, Gatuso wa Italia na Diego Simone kocha wa Atletico Madrid. Wote enzi zao walikuwa watata lakini walichezea timu zao za taifa hadi walipozeeka. Kuwa kochi ni pamoja na kuhimili wachezaji watukutu. Amunike hana lolote anapenda kuabudiwa
 
Lawama zote hazita waacha TFF Kwa kumwacha Kim Paulsen. Yule ndiye alikua ana stahili kuwa kocha wa taifa staz.
 
Kocha Amunike ametoka kwao kuja kutuharibia Taifa Stars. Kawaacha Afcon Ajibu na Mouse eti hawana nidhamu. Tumeona makocha wangapi wakifanya kazi na wachezaji wasiokuwa na nidhamu lakini wanacheza vizuri. Mchukue Mario Balloteli. Yeye ni kichaa kabisa lakini makocha Wa Italia hawamwachi. Pia waangalie Romario wa Brazil, Gatuso wa Italia na Diego Simone kocha wa Atletico Madrid. Wote enzi zao walikuwa watata lakini walichezea timu zao za taifa hadi walipozeeka. Kuwa kochi ni pamoja na kuhimili wachezaji watukutu. Amunike hana lolote anapenda kuabudiwa
Kama jiwe anavyopenda kuabudiwa!
 
Kwenye maendeleo yoyote lazima kuwe na hatua watanzania tunapenda Raha namna ya kuitafuta Raha ndio hatuwezi hivi academy za mpira ziko wapi nidhamu inaanzia utotoni matokeo ya kuruka hatua za mpira ndio hizo hata aje Yesu hakuna lolote ,hivi kupiga pasi akufundishe amunike?hivi kujenga stamina akufundishe amunike?Haya tumeona wenzetu wamepeleka washangilia wengi tu sisi tunampleka mlevi na shoga hivi mnataka matokeo yapo?
 
Tulipofuzu Afcon alifaa ila baada ya kufungwa mechi moja na Senegal hafai! Acha mawazo mgando.
 
Hata akija Jose Morinho bado tutabaki hapo hapo.Kichwa cha mwendawazimu.
 
Kwa ufupi tu tff na serikali yetu haipo serious katika swala la michezo....
Wewe fikiria tuna viwanja kama

Kirumba mwanza
Amri Abeid Arusha
Mkwakwani Tanga
Jamhuri Morogoro
Jamhuri Dodoma
Majimaji Songea
Shinyanga
Tabora
Kagera

Kama wapo serious viwanja vyote hivyo vinatakiwa vitoke mikononi mwa CCM virudi serikalini.... Kisha kila mwaka itengwe bajeti ya kukarabati angalau viwanja viwili tu... Viwe katika hali nzuri....

Hii itasaidia sana.... Kwasababu huwezi kuwa na ligi nzuri na wachezaji wazuri kwenye viwanja vibovu( matuta ya viazi)
 
Kocha Amunike ametoka kwao kuja kutuharibia Taifa Stars. Kawaacha Afcon Ajibu na Mouse eti hawana nidhamu. Tumeona makocha wangapi wakifanya kazi na wachezaji wasiokuwa na nidhamu lakini wanacheza vizuri. Mchukue Mario Balloteli. Yeye ni kichaa kabisa lakini makocha Wa Italia hawamwachi. Pia waangalie Romario wa Brazil, Gatuso wa Italia na Diego Simone kocha wa Atletico Madrid. Wote enzi zao walikuwa watata lakini walichezea timu zao za taifa hadi walipozeeka. Kuwa kochi ni pamoja na kuhimili wachezaji watukutu. Amunike hana lolote anapenda kuabudiwa
Mkuu hao unaowataja kina gatuso, baloteli na wengineo hawna nidham ukija kweny masuala ya nje ya uwanja na ugomvi ndani ya pitch lakin WANA NIDHAM YA MAZOEZI hakuna kocha yeyote duniani ataekaa na mchezaj asie na nidham ya mazoez(kutokufanya/kushindwa kufuata anachoelekezwa/uvivu) nan asiemjua ajib kwamba ni mtu mvivu!!

Binafsi naona sahihi kuwaacha watu wasio na nidham ya mazoez haijalishi tim itafanya vibaya au vozuri ila kocha kama kocha lazima uwe na MISINGI yako imara pasipo kuangalia nan wala nan...

Rejea kombe la dunia 2002 kisa cha kuachwa kwa romario pale brazil na kuchukuliwa Ronaldinho gaucho.

Wamepita makocha wengi Tz iko vile vile kazi kulalamikia makocha tu...
#tujitafakari zaid
 
Kocha Amunike ametoka kwao kuja kutuharibia Taifa Stars. Kawaacha Afcon Ajibu na Mouse eti hawana nidhamu. Tumeona makocha wangapi wakifanya kazi na wachezaji wasiokuwa na nidhamu lakini wanacheza vizuri. Mchukue Mario Balloteli. Yeye ni kichaa kabisa lakini makocha Wa Italia hawamwachi. Pia waangalie Romario wa Brazil, Gatuso wa Italia na Diego Simone kocha wa Atletico Madrid. Wote enzi zao walikuwa watata lakini walichezea timu zao za taifa hadi walipozeeka. Kuwa kochi ni pamoja na kuhimili wachezaji watukutu. Amunike hana lolote anapenda kuabudiwa
Nadhani historia inatukumbusha hakuna coach aliyewahi kufaa tanzania.
 
Kocha Amunike ametoka kwao kuja kutuharibia Taifa Stars. Kawaacha Afcon Ajibu na Mouse eti hawana nidhamu. Tumeona makocha wangapi wakifanya kazi na wachezaji wasiokuwa na nidhamu lakini wanacheza vizuri. Mchukue Mario Balloteli. Yeye ni kichaa kabisa lakini makocha Wa Italia hawamwachi. Pia waangalie Romario wa Brazil, Gatuso wa Italia na Diego Simone kocha wa Atletico Madrid. Wote enzi zao walikuwa watata lakini walichezea timu zao za taifa hadi walipozeeka. Kuwa kochi ni pamoja na kuhimili wachezaji watukutu. Amunike hana lolote anapenda kuabudiwa
Wangekuwepo hao tungeshinda? Acheni hizo, kama una ujuzi zaidi ya kochs, upewe wewe timu. Wewe na wengine wenye akili kama zako nfio mnaotuharibia soka letu. Ujuaji mwiiingi. Ajibu mwenyewe hata kwa Yanga alikuwa akila sub za kutosha, kiungo asiyeweza kukaba, kwa mechi ambazo timu iko kwenye pressure hana msaada. Acheni kukariri, wapeni hesjima wanayostahili timu yetu kwa kujitahidi kutuepusha na fedheha.
 
Lawama zote hazita waacha TFF Kwa kumwacha Kim Paulsen. Yule ndiye alikua ana stahili kuwa kocha wa taifa staz.

Huyu kiumbe alikuwa humble sana! Nadhani kama angebakizwa kwenye soka la vijana, basi huenda miaka ijayo tungekuja kupata wachezaji wenye sifa zinazostahili.
 
Ukianzia mguu mbaya hata ukipewa muda gani, ni kupoteza muda na resources for nothing, ni sawa na mtu anakwambia anaenda mwanza kikazi kutokea Dar, lakini wewe unamuona anapanda mabasi ya kwenda lindi, vp huyu utamuacha kwa sababu ndio kwanza kapanda basi la lindi, hivyo unasubiri mpaka afike lindi ndio umwambie kuwa ulikuwa wrong direction?
Kwenye maendeleo yoyote lazima kuwe na hatua watanzania tunapenda Raha namna ya kuitafuta Raha ndio hatuwezi hivi academy za mpira ziko wapi nidhamu inaanzia utotoni matokeo ya kuruka hatua za mpira ndio hizo hata aje Yesu hakuna lolote ,hivi kupiga pasi akufundishe amunike?hivi kujenga stamina akufundishe amunike?Haya tumeona wenzetu wamepeleka washangilia wengi tu sisi tunampleka mlevi na shoga hivi mnataka matokeo yapo?
 
Back
Top Bottom