CarloKipara ngoto kashaondoka.
Yupi anaefaa??
Nabi na msaisizi wake awe Nadir Harub CannavaroWana Man Utd, Xavi au Nagelsmann yupi anafaa kuwa kocha mpya wa Man Utd?
Kipara ngoto kashaondoka.
Yupi anayefaa?
Pia soma > Erik Ten Hag atimuliwa Manchester United baada ya kipigo dhidi ya West Ham United
Juma MgundaWana Man Utd, Xavi au Nagelsmann yupi anafaa kuwa kocha mpya wa Man Utd?
Kipara ngoto kashaondoka.
Yupi anayefaa?
Pia soma > Erik Ten Hag atimuliwa Manchester United baada ya kipigo dhidi ya West Ham United
Kocha ni yule wa Aston villaSina uwezo wa kuwashauri management ya man utd, lakini ningekua na huo uwezo ningewaambia wamchukue Luis Enrique(Lucho)
Lucho angesidia sana kuijenga timu pamoja na kuja na falsafa mpya. Vinginevyo man utd itahangaika miaka na miaka kubadili makocha
Julio Tarantino.Wana Man Utd, Xavi au Nagelsmann yupi anafaa kuwa kocha mpya wa Man Utd?
Kipara ngoto kashaondoka.
Yupi anayefaa?
Pia soma > Erik Ten Hag atimuliwa Manchester United baada ya kipigo dhidi ya West Ham United