Kocha Jamhuri 'Julio' Ni bora Zaidi Ya Amunike

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Nilipost before,
Kuinoa timu ya Tanzania kuna hitaji mwalimu anaewajua vizuri wachezaji wa Tanzania
Kiuelewa Julio ni zaidi ya Amunike kwa Timu yetu kuanzia lugha na kila kitu
 
Nilipost before,
Kuinoa timu ya Tanzania kuna hitaji mwalimu anaewajua vizuri wachezaji wa Tanzania
Kiuelewa Julio ni zaidi ya Amunike kwa Timu yetu kuanzia lugha na kila kitu
julio nani bwana!!wakati ule mme mpa mkwasa mkapiga kelele alifanya nini?taifa stars ni zaidi ya kocha wachezaji unao?
 
Mkuu,Utambulisho Batili huu.

'Usikute' mleta mada ni Julio mwenyewe
Watanzania tuna kasumba ya kujikataa
Na tuna shadadia watu wa mataifa ya nje hususan Nigerians
Shida kubwa ni exposure, kwa sie tulioishi sehemu tofauti tofauti duniani tunawajua vizuri wa Nigeria
 
Nilipost before,
Kuinoa timu ya Tanzania kuna hitaji mwalimu anaewajua vizuri wachezaji wa Tanzania
Kiuelewa Julio ni zaidi ya Amunike kwa Timu yetu kuanzia lugha na kila kitu
Ukisema ivyo si kweli, wanamichezo hasa soka la Bongo ni wanafiki sana angekuwa Julio then kapanga wachezaji wengi wa simba halafu timu ipigwe ni kesi,ivyo ivyo alikuwa na timu Mkwasa tukala 7akaambiwa anapanga wa Yanga tu...Binafsi naona kina Hemedi Morroco ndo wametusaliti kwa kutomwambia ukweli Amunike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…