Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kocha Msaidizi wa Namungo FC, Jamhuri Kihwelo Julio, amelalamikia kipengere cha mchezaji wa mkopo kutocheza wakati timu hizo zinapokutana.
"Mpira wa Afrika una mambo mengi ya kishamba utakuta timu inakupa mchezaji kwa mkopo halafu inakupa masharti tukikutana tusimtumie mchezaji huyo, nini hiyo sasa kama si uoga na ushamba.
Azam FC wametufanyia kitu cha kishamba, wametupa mchezaji Emmanuel Charles kwa mkopo lakini wameweka kipengere tukikutana na Namungo FC asicheze, mambo haya hata Ulaya hayapo".
Julio aliyasema hayo baada mchezo wa NBC kati ya Namungo FC na Azam FC ambapo Namungo FC walipoteza kwenye dimba lake la nyumbani kwa mabao mawili kwa moja.
"Mpira wa Afrika una mambo mengi ya kishamba utakuta timu inakupa mchezaji kwa mkopo halafu inakupa masharti tukikutana tusimtumie mchezaji huyo, nini hiyo sasa kama si uoga na ushamba.
Azam FC wametufanyia kitu cha kishamba, wametupa mchezaji Emmanuel Charles kwa mkopo lakini wameweka kipengere tukikutana na Namungo FC asicheze, mambo haya hata Ulaya hayapo".
Julio aliyasema hayo baada mchezo wa NBC kati ya Namungo FC na Azam FC ambapo Namungo FC walipoteza kwenye dimba lake la nyumbani kwa mabao mawili kwa moja.