Ndio ipo nchi nyingi ila haiitwi Cup Tied; Cup Tied ni kama mchezaji fulani alishacheza kwenye kombe fulani mfano FA CUP / Champions League katika msimu huo huo akihama hawezi kucheza na huko
Tukija kwenye hili suala ni mkopo / mkataba mnavyokubaliana ndivyo ilivyo sababu kama wakikataa na hio clause huchelewi kusema nipeni mchezaji wangu...
Ila hii kuna kipindi Arsene Wenger aliilalamikia..., Sababu Timu kama Chelsea enzi ina Pesa nyingi inaweza kusajili wachezaji wa kutosha na kuwakodisha kila timu..., sasa kama wachezaji hao wakiwa wanacheza na timu nyingine alafu hawachezi na Timu yako kuna unfair advantage....
Kwahio inatokea sehemu nyingi / ila sio ushamba LAKINI ikifanyika sana inaweza kuwa abused