Kama kuna Watu wamebarikiwa kwa kuwa na ' machale ' ya kuja kupata ' dhahama ' basi ni Kocha wa Yanga Mzambia George Lwandamina kwani ameshaona kwa mwendo huu wa Simba Sports Club katika Ligi Kuu ya Vodacom kuna kila dalili kwamba Klabu yake ya Yanga SC tarehe 29 April 2018 ikaja kupata Kipigo cha Mauaji ya ' Shalubela ' cha kufungwa Goli Tisa ( 9 ) bila pale Uwanja wa Taifa hivyo ' akajiongeza ' mapema tu jana na kuamua kusepa zake za Kijiji kurejea Kwao nchini Zambia.
Shikamoo Kocha Lwandamina ila hata hivyo ' Kipigo ' kwa Yanga yako kipo pale pale!
Nawasilisha.