Kocha Maki ashauriwe vizuri

Kocha Maki ashauriwe vizuri

Dan Zwangendaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
5,814
Reaction score
8,118
Kufungwa kwa Simba katika Derby ya jana ni makosa ya wazi yaliyofanywa na Kocha Maki Zoran.

Aelewe tu kwamba wana Simba ni heri tufungwe na Namungo kuliko kufungwa na Yanga. Namungo wakitufunga chakula kinalika na hata kile chakula Kikuu kinalika fresh tu pia. Ila ikifungwa na Yanga haijalishi mwenzi wako ni Simba mwenzio au Utopolo game inakuwa ngumu sanaaaa.

Ashauriwe apate muda wa kuangalia mechi kadhaa ambazo wachezaji wapya wamekuwa wakicheza (maana wengi hakushiriki kuwasajili) ili aelewe wana nini hao wachezaji na yeye achukue jukumu la kuwaweka kwenye hali iliyofanya wakasajiliwa Simba.

Kwa kumaliza, aelewe tu kuwa kwa Simba hii wachezaji wanaoweza kuamua matokeo ni:-
1. Manula
2. Kapombe
3. Zimbwe
4. Outara
5. Akpan
6. Chama
7. Okwa
8. Okrah
9. Sakho
10. Phiri
11. Onyango

Yampasa awe na SABABU ZA MSINGI sana anapoamua kuwaweka wachezaji hao benchi au wasicheze pamoja. Kwa kifupi tunawajua.

Alichotufanyia leo hatujapenda kwani mechi ilishaisha. Tunaamini mapema kipindi cha pili sub ya kuingia Akpan, Phiri, Okwa na Okrah pasipo kumtoa chama mechi ilikuwa ishaisha. Kocha tuombe radhi Sana Sana.
 
Usijiendekeze kihivyo mkuu. Simba au Yanga Kuna kufungwa na kushinda. Acha kujinyima Raha Kwa kitu kilicho nje ya uwezo wako. Usikubali kitu kilicho nje ya uwezo wako (Kwa case hii ni Simba, Kwa maana hauko uwanjani huchezi so hauna mchango wowote kwenye game kusema labda uongeze bidii sana mshinde!) Kikufanye mtumwa.

Hizi timu usizichukulie seriously sana mkuu, ni sawa kuwa mshabiki au mwanachama ila usijiruhusu kuwa mtumwa! Ushindwe kumgonga shemeji Kwa nafasi kisa kocha kapanga timu vibaya khaaaaa! Kumbuka kocha na wachezaji wanapata mamilioni ya fedha wewe unapata Nini Cha kukusongesha maisha?

Shabikia timu Yako ila usiwe mtumwa, shabikia Kwa kiasi ndo utaona Raha ya football.
 
Usijiendekeze kihivyo mkuu. Simba au Yanga Kuna kufungwa na kushinda. Acha kujinyima Raha Kwa kitu kilicho nje ya uwezo wako. Usikubali kitu kilicho nje ya uwezo wako (Kwa case hii ni Simba, Kwa maana hauko uwanjani huchezi so hauna mchango wowote kwenye game kusema labda uongeze bidii sana mshinde!) Kikufanye mtumwa.

Hizi timu usizichukulie seriously sana mkuu, ni sawa kuwa mshabiki au mwanachama ila usijiruhusu kuwa mtumwa! Ushindwe kumgonga shemeji Kwa nafasi kisa kocha kapanga timu vibaya khaaaaa! Kumbuka kocha na wachezaji wanapata mamilioni ya fedha wewe unapata Nini Cha kukusongesha maisha?

Shabikia timu Yako ila usiwe mtumwa, shabikia Kwa kiasi ndo utaona Raha ya football.
Mkuu mimi si mtumwa wa mpira ila katika kufuatilia timu hizi, mechi hii ni ya pili nimeumia nayo baada ya mechi iliyochezwa tarehe 20 Oktoba 1990 ambapo Simba ilifungwa 3-1. Ni mechi ambazo Simba haikufungwa kutokana na udhaifu wa timu bali maamuzi yasiyo sahihi yaliyofanywa wakati wa mchezo. Game ya jana Yanga walishakaa. Ilikuwa ni sub za kiufundi tu za kocha ila ndio hivyo.
 
Kufungwa kwa Simba katika Derby ya jana ni makosa ya wazi yaliyofanywa na Kocha Maki Zoran.

Aelewe tu kwamba wana Simba ni heri tufungwe na Namungo kuliko kufungwa na Yanga. Namungo wakitufunga chakula kinalika na hata kile chakula Kikuu kinalika fresh tu pia. Ila ikifungwa na Yanga haijalishi mwenzi wako ni Simba mwenzio au Utopolo game inakuwa ngumu sanaaaa.

Ashauriwe apate muda wa kuangalia mechi kadhaa ambazo wachezaji wapya wamekuwa wakicheza (maana wengi hakushiriki kuwasajili) ili aelewe wana nini hao wachezaji na yeye achukue jukumu la kuwaweka kwenye hali iliyofanya wakasajiliwa Simba.

Kwa kumaliza, aelewe tu kuwa kwa Simba hii wachezaji wanaoweza kuamua matokeo ni:-
1. Manula
2. Kapombe
3. Zimbwe
4. Outara
5. Akpan
6. Chama
7. Okwa
8. Okrah
9. Sakho
10. Phiri
11. Onyango

Yampasa awe na SABABU ZA MSINGI sana anapoamua kuwaweka wachezaji hao benchi au wasicheze pamoja. Kwa kifupi tunawajua.

Alichotufanyia leo hatujapenda kwani mechi ilishaisha. Tunaamini mapema kipindi cha pili sub ya kuingia Akpan, Phiri, Okwa na Okrah pasipo kumtoa chama mechi ilikuwa ishaisha. Kocha tuombe radhi Sana Sana.
Mashabiki wa simba acheni ujuaji. Mpeni muda mwalimu wenu, pamoja na yule mkwe wake Dejan. Naamini mambo mazuri yanakuja.
 
Kocha hamkumuelewa. Alivomtoa Chama akaingia Mzamiru alitaka kuongeza holding mildfielder unfortunately Nabbi kamuwahi kaingiza winger viberenge. Na Azizi Ki kuingia kati na Inonga na Outtara wakawa hawana combo nzuri.
 
Back
Top Bottom