Kocha Mamelodi: Hatustahili tunachokipata kwa mashabiki

Kocha Mamelodi: Hatustahili tunachokipata kwa mashabiki

Movic Evara

Senior Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
197
Reaction score
431
Kuelekea mechi dhidi ya Yanga SC

"Kwa aina yetu ya uchezaji tunastahili kupata sapoti kubwa kuliko tunayopata. Msimu uliopita tulishinda Ubingwa wa ligi lakini uwanja ulikuwa mtupu.

"Tunahitaji kelele zaidi, watu wengi zaidi kwenye siti (Uwanjani) na kwa kweli nafikiri tunastahili kwa sababu ya aina yetu ya uchezaji wa soka tunaocheza.

"Tunahitaji mashabiki wengi Uwanjani kwa sababu tupo kwenye muda mgumu kama klabu. Kwa hiyo kuna maana gani ya kuinjoy mpira bila uwepo wa mashabiki wetu!

"Jambo la kusikitisha, msimu uliopita wakati ambao tulishinda Ubingwa wa ligi uwanja uliuwa mtupu, na hatukuweza kusherehekea na kufurahi pamoja na mashabiki wetu.

Rhulan Mokwena, Kocha wa klabu ya Mamelodi.
 
Si nimesikia karibia timu yao nzima ni kikosi cha bafana bafana yanii timu ya Taifa...why wakose mashabiki au wanaringa sana?.
Tatizo la south Africa Orlando pirates na kaizer chiefs ndo kama Simba na Yanga huko

Huyu mamelodi ni kama azam vile, katumia fedha nyingi kupata wachezaji lakini mashabiki karibu wote wapo Orlando na kaizer chiefs

Yaani hata mechi kubwa kwenye ligi ya south Africa ni derby kati ya kaizer na Orlando mpaka na leo
 
Kuelekea mechi dhidi ya Yanga SC

"Kwa aina yetu ya uchezaji tunastahili kupata sapoti kubwa kuliko tunayopata. Msimu uliopita tulishinda Ubingwa wa ligi lakini uwanja ulikuwa mtupu.

"Tunahitaji kelele zaidi, watu wengi zaidi kwenye siti (Uwanjani) na kwa kweli nafikiri tunastahili kwa sababu ya aina yetu ya uchezaji wa soka tunaocheza.

"Tunahitaji mashabiki wengi Uwanjani kwa sababu tupo kwenye muda mgumu kama klabu. Kwa hiyo kuna maana gani ya kuinjoy mpira bila uwepo wa mashabiki wetu!

"Jambo la kusikitisha, msimu uliopita wakati ambao tulishinda Ubingwa wa ligi uwanja uliuwa mtupu, na hatukuweza kusherehekea na kufurahi pamoja na mashabiki wetu.

Rhulan Mokwena, Kocha wa klabu ya Mamelodi.
Hii timu ni Azam ya Sauzi.
 
Kuelekea mechi dhidi ya Yanga SC

"Kwa aina yetu ya uchezaji tunastahili kupata sapoti kubwa kuliko tunayopata. Msimu uliopita tulishinda Ubingwa wa ligi lakini uwanja ulikuwa mtupu.

"Tunahitaji kelele zaidi, watu wengi zaidi kwenye siti (Uwanjani) na kwa kweli nafikiri tunastahili kwa sababu ya aina yetu ya uchezaji wa soka tunaocheza.

"Tunahitaji mashabiki wengi Uwanjani kwa sababu tupo kwenye muda mgumu kama klabu. Kwa hiyo kuna maana gani ya kuinjoy mpira bila uwepo wa mashabiki wetu!

"Jambo la kusikitisha, msimu uliopita wakati ambao tulishinda Ubingwa wa ligi uwanja uliuwa mtupu, na hatukuweza kusherehekea na kufurahi pamoja na mashabiki wetu.

Rhulan Mokwena, Kocha wa klabu ya Mamelodi.
Yanga tukaujaze huo uwanja huku tukiwazomea mwanzo mwisho hao Masandawana.
 
Mbona makolo yamenunua Jezi zao wawatumie mabasi wakawashangilie
 
Tatizo la south Africa Orlando pirates na kaizer chiefs ndo kama Simba na Yanga huko

Huyu mamelodi ni kama azam vile, katumia fedha nyingi kupata wachezaji lakini mashabiki karibu wote wapo Orlando na kaizer chiefs

Yaani hata mechi kubwa kwenye ligi ya south Africa ni derby kati ya kaizer na Orlando mpaka na leo
Dooh maskini..nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom